jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,074
- 28,272
Naona UKAWA wako kwenye mihemuko na kusherehekea mabilioni waliyohongwa huku wakisahau kuwa jimbo la Ubungo limeshapata muarubaini wa maendeleo ndugu Didas Masaburi.
Mnyika atatakiwa kukabidhi jimbo kwa Masaburi.
Mnyika atakuwa ametambua nani ni dhaifu kati ya JK na Mbowe!
Mnyika atatakiwa kukabidhi jimbo kwa Masaburi.
Mnyika atakuwa ametambua nani ni dhaifu kati ya JK na Mbowe!