Young Warlock
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 328
- 111
Wanajamvi,
Kumbe kitendo cha kugomea divistion V ndio imeletwa katika sura tofauti. Hivi tunaipelekawapi elimu yetu jamani? Ukifuatilia mgawanyo wa Grades utagundua hii ni janja janja na ufaulu umepanda tokana na janja hiyo.
-------------
Kumbe kitendo cha kugomea divistion V ndio imeletwa katika sura tofauti. Hivi tunaipelekawapi elimu yetu jamani? Ukifuatilia mgawanyo wa Grades utagundua hii ni janja janja na ufaulu umepanda tokana na janja hiyo.
-------------
Tukicheza na Serikali ya Maccm hakya Mungu itafikia mtu anamaliza Chuo Kikuu hajui kusoma wala kuandika... Elimu ya Tanzania inashuka vibaya.. Ukiangalia kwenye mtandao wa Ranking Web of Universities UDSM ambacho ndiyo chuo tunachojivunia kwa kipindi cha miezi sita kimeporomoka kutoka nafasi ya 12 hadi nafasi ya 27 kwa Ubora nyuma ya Makerere na Nairobi Universities... Kwa mujibu wa mtandao huo hivi ndivyo vyuo kumi bora kwa Tanzania kwa mujibu wa mtandao huo (Africa | Ranking Web of Universities)
Country ----- Africa ---- World rank
1. UDSM ---- 27-------- 2284
2. Sokoine ------92 -------- 5549
3. Muhimbili -----116 -------- 7040
4. OUT/Open----- 132-------- 7085
5. H. Kairuki ------163 --------9017
6. Mzumbe --------191 ------ 10046
7. KCMC ---------- 230-------- 11367
8. IFM ------------ 291--------- 12728
9. St. August/Mwz-- 320 --------13405
10. Tumaini/Iringa---- 340-------- 13800
Kwa mwendo unaoendelea tutegemee kushuka zaidi Afrika na dunia...
Mmesahau haya
Jedwali Na 1
MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU
ALAMA UWIGO WA ALAMA IDADI YA ALAMA TAFSIRI A 75 - 100 26Ufauli Uliojipambanua B+ 60 - 74 15Ufaulu bora sana B 50- 59 10Ufaulu mzuri sana C 40 - 49 10Ufaulu mzuri D 30 - 39 10Ufaulu Hafifu E 20 - 29 10Ufaulu hafifu sana F0 - 19 20Ufaulu usioridhisha
Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.
Jedwali Na 2
MUUNDO WA MADARAJA
MUUNDO WA ZAMANI MUUNDO MPYA MAELEZO POINTI DARAJA POINTI DARAJA7-17 1 7-17 I Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana 18-21 II 18-24 II Kundi la ufaulu mzuri sana 22-25 III 25-31 III Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani 26-33 IV 32-47 IV Kundi ufaulu hafifu 34-35 0 48-49 V Kundi la ufaulu usioridhisha
Hivi hawa baraza la mitihan (NECTA) wametuona sisi watanzania ni wajinga kiasi cha kwamba wanatuganya waziwazi namna hii!
Yaana wanadriki kutuambia asilimia ya ufaulu umeongezeka kwa asilimia 15.kwa kulinganisha na ufaulu upi?
Ina maana ufaulu wa sasa wa mwanafunzi kuwa na DIV -IV -42 ndo wanataka waulinganishe na ule wa mwaka jana ambapo mwenye div -iv-34 ilikuwa ni ziro?
Na kama A ya mwaka jana ilianzia na 81 ndo wame compare na A ya kuanzia 71!?
Sasa kama ni hivyo basi watangaze sis tuliosoma miaka ya nyuma turudishe vyeti vibadilshwe kwendana na ufaulu wa sasa.
Nina maoni hasa katika kipindi hiki muhimu cha kutunga katiba kuwa waziri wa Elimu asipendekezwe bali aombe kazi.wazira ya Elimu iitwe MWAMLAKA YA ELIMU TANZANIA " ili wanataaluma ndio wawe na MWAMLAKA ya kubadili mwenendo wa Elimu! Katika hali ya kushangaza na ya kusikitisha ni pale Elimu ya Tanzania inavyoshuwa kwa nguvu ili kuendana na joto la kisiasa! Na hili kila mtu ameliona baada ya mtokeo ya kidatoa cha nne! Kiwango cha kufeli kimesushwa kwa kuanzishwa grade nyingi sana za ufaulu! Bila kusahau kuwa chanzo kikubwa cha kufeli wanafunzi ni ongezeko la shule za kata na shule za binafsi ambazo hazina ubora! Huku fani ya ualimu ikidhalauliwa! imefika wakati sasa hii wizara iendeshwe na wanataaluma wenyewe!
KWANINI WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA ELIMU KATIKA HILI WASIJIUZULU SASA???
TWENDE PAMOJA KATIKA UCHUNGUZI HUU,,!!!
NI KIGEZO GANI CHA KUTOFAUTISHA MATOKEO HAYA YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE KIMETUMIKA???
Kinachonishangaza sana na kunisikitisha ni hiki hapa.
Kuna wanafunzi wana-alama (points) 42 wamepewa Div.0, na kuna wanafunzi wanapointi 46 wamepewa Div. IV,
Kuna waliopata points 43 wamepewa Div.IV, na wengine wamepata points 43 wamepewa Div. 0
hii sio kawaida ni zaidi ya uchakachuaji.
UCHAMBUZI KWA KIFUPI HUU HAPA,,!! Kuwa makini uone utofauti au usawa wa points ila utofauti wa ufaulu.
Na kwanini mabadiliko haya yaje, kwa manufaa ya nani baada ya Bunge kukataa upuuzi huu???
SHULE YA SEKONDARI WIGAMBA YA MBEYA MJINI- ENEO LA ISANGA- MFANO WA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE
No. ya Mtahiniwa, Points. Division
S3133/0088 45 IV
S3133/0082 45 0
S3133/0092 42----------------- 0
S3133/0095 43----------------- 0
S3133/0099 44-----------------0
S3133/0100 42------------------IV
S3133/0101 43------------------IV
S3133/0103 44------------------IV
SHULE NYINGINE YA JINA LA MH. NCHIMBI
-------------------------------------------------------------------------------------------------
DR. NCHIMBI SEC. SCHOOL
S1877/0001 43--------------------IV
S1877/0003 43-------------------IV
S1877/0006 46-------------------IV
S1877/0007 46-------------------IV
S1877/0028 44------------------IV
S1877/0037 45------------------0
Ndugu Watanzania wenzangu, mimi naona haya ni maafa kuliko UKIMWI, NA TSUNAMI ukilinganisha na anguko hili.
Tujiulize, na tutafakari kwa ufasaha kisha tutumie busara kusaidia Taifa letu kwani linatufia kutokana na kuwafumbia macho mafisadi wakichakachua matokeo ya uchaguzi, hadi matokeo ya elimu za ndugu zetu ambao sasa wengine wanajichoma visu, na hata kujitia vitanzi kutokana na mafisadi wachache wanaotesa Taifa letu.
MASWALI,,??
Ni kigezo kipi kimetumika kuchukua mfumo huu wa kupanga matokeo??
Mfumo huu umekuwa bora wapi, na katika nchi ipi iliyoendelea??
Je, utafiti gani ulifanyika ukaridhisha kuwa mtindo huu wa kupanga matokeo utakuwa na tija kwa taifa kuliko uliokuwepo awali?
Kama utafiti ulifanywa, nani alifanya na matokeo yake yaliripotiwa kwa nani?
Je, bunge la Jamhuri lilihusishwa na kuidhinisha utaratibu huu??
CCM INATUMALIZA KABISA, KABISA,,,!!! MUNGU ATUSAIDIE ILA NI MUHIMU SANA SOTE TUSHIRIKI KULETA MABADILIKO NCHINI PETU.
------------------------------------------------------------------------------------------------------
ONA MATOKEO YA WANAFUNZI HAO NILIOWATOLEA MFANO KWA UNDANI UKIFUATA NAMBA ZAO UONE UFAULU WA KILA MMOJA NA POINTS WALIZOPEWA NA UTOFAUTI MA MADARAJA WALIYOPEWA.
Ukitaka kujiridhisha zaidi ingia kwenye tovuti ya NECTA uhakikishe ninachokisema hapa kisha tusaidiane kudai haki.
.................................................. .................................................. .............................
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S1877 DR. NCHIMBI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 4 DIV-III = 19 DIV-IV = 50 DIV-0 = 77
CNO SEX AGGT DIV DETAILED SUBJECTS
S1877/0001 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S1877/0002 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0003 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0004 F 28 III CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S1877/0005 F 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'B' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F' COMM - 'F' B/KEEPING - 'E'
S1877/0006 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0007 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0008 F 24 II CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S1877/0009 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0010 F 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0011 F 47 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - '
S1877/0028 F 44 IV CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0037 F 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
--------------------------------------------------------------------------------------------------
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S3133 WIGAMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 1 DIV-II = 10 DIV-III = 14 DIV-IV = 57 DIV-0 = 34
S3133/0082 M 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0083 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0084 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S3133/0085 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0086 M 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S3133/0087 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'
S3133/0090 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S3133/0091 M 34 IV CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0093 M 39 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0094 M 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0096 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0097 M 26 III CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'B'
S3133/0098 M 32 IV CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'C'
S3133/0099 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0100 M 42 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0101 M 43 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0102 M 37 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S3133/0103 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0104 M 39 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F'