Point za madaraja - Matokeo ya form four yako kisiasa zaidi

Young Warlock

JF-Expert Member
Dec 29, 2013
328
111
Wanajamvi,

Kumbe kitendo cha kugomea divistion V ndio imeletwa katika sura tofauti. Hivi tunaipelekawapi elimu yetu jamani? Ukifuatilia mgawanyo wa Grades utagundua hii ni janja janja na ufaulu umepanda tokana na janja hiyo.

-------------
Tukicheza na Serikali ya Maccm hakya Mungu itafikia mtu anamaliza Chuo Kikuu hajui kusoma wala kuandika... Elimu ya Tanzania inashuka vibaya.. Ukiangalia kwenye mtandao wa Ranking Web of Universities UDSM ambacho ndiyo chuo tunachojivunia kwa kipindi cha miezi sita kimeporomoka kutoka nafasi ya 12 hadi nafasi ya 27 kwa Ubora nyuma ya Makerere na Nairobi Universities... Kwa mujibu wa mtandao huo hivi ndivyo vyuo kumi bora kwa Tanzania kwa mujibu wa mtandao huo (Africa | Ranking Web of Universities)

Country ----- Africa ---- World rank
1. UDSM ---- 27-------- 2284
2. Sokoine ------92 -------- 5549
3. Muhimbili -----116 -------- 7040
4. OUT/Open----- 132-------- 7085
5. H. Kairuki ------163 --------9017
6. Mzumbe --------191 ------ 10046
7. KCMC ---------- 230-------- 11367
8. IFM ------------ 291--------- 12728
9. St. August/Mwz-- 320 --------13405
10. Tumaini/Iringa---- 340-------- 13800

Kwa mwendo unaoendelea tutegemee kushuka zaidi Afrika na dunia...

Mmesahau haya

Jedwali Na 1
MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU​
ALAMA​
UWIGO WA ALAMA​
IDADI YA ALAMA​
TAFSIRI​
A​
75 - 100​
26​
Ufauli Uliojipambanua
B+​
60 - 74​
15​
Ufaulu bora sana
B​
50- 59​
10​
Ufaulu mzuri sana
C​
40 - 49​
10​
Ufaulu mzuri
D​
30 - 39​
10​
Ufaulu Hafifu
E​
20 - 29​
10​
Ufaulu hafifu sana
F​
0 - 19
20​
Ufaulu usioridhisha


Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.
Jedwali Na 2
MUUNDO WA MADARAJA​
MUUNDO WA ZAMANI
MUUNDO MPYA
MAELEZO
POINTI
DARAJA
POINTI
DARAJA
7-1717-17IKundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana
18-21II18-24IIKundi la ufaulu mzuri sana
22-25III25-31IIIKundi la ufaulu mzuri na wa wastani
26-33IV32-47IVKundi ufaulu hafifu
34-35048-49VKundi la ufaulu usioridhisha

Hivi hawa baraza la mitihan (NECTA) wametuona sisi watanzania ni wajinga kiasi cha kwamba wanatuganya waziwazi namna hii!

Yaana wanadriki kutuambia asilimia ya ufaulu umeongezeka kwa asilimia 15.kwa kulinganisha na ufaulu upi?

Ina maana ufaulu wa sasa wa mwanafunzi kuwa na DIV -IV -42 ndo wanataka waulinganishe na ule wa mwaka jana ambapo mwenye div -iv-34 ilikuwa ni ziro?

Na kama A ya mwaka jana ilianzia na 81 ndo wame compare na A ya kuanzia 71!?

Sasa kama ni hivyo basi watangaze sis tuliosoma miaka ya nyuma turudishe vyeti vibadilshwe kwendana na ufaulu wa sasa.

Nina maoni hasa katika kipindi hiki muhimu cha kutunga katiba kuwa waziri wa Elimu asipendekezwe bali aombe kazi.wazira ya Elimu iitwe MWAMLAKA YA ELIMU TANZANIA " ili wanataaluma ndio wawe na MWAMLAKA ya kubadili mwenendo wa Elimu! Katika hali ya kushangaza na ya kusikitisha ni pale Elimu ya Tanzania inavyoshuwa kwa nguvu ili kuendana na joto la kisiasa! Na hili kila mtu ameliona baada ya mtokeo ya kidatoa cha nne! Kiwango cha kufeli kimesushwa kwa kuanzishwa grade nyingi sana za ufaulu! Bila kusahau kuwa chanzo kikubwa cha kufeli wanafunzi ni ongezeko la shule za kata na shule za binafsi ambazo hazina ubora! Huku fani ya ualimu ikidhalauliwa! imefika wakati sasa hii wizara iendeshwe na wanataaluma wenyewe!

KWANINI WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA ELIMU KATIKA HILI WASIJIUZULU SASA???

TWENDE PAMOJA KATIKA UCHUNGUZI HUU,,!!!

NI KIGEZO GANI CHA KUTOFAUTISHA MATOKEO HAYA YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE KIMETUMIKA???

Kinachonishangaza sana na kunisikitisha ni hiki hapa.

Kuna wanafunzi wana-alama (points) 42 wamepewa Div.0, na kuna wanafunzi wanapointi 46 wamepewa Div. IV,

Kuna waliopata points 43 wamepewa Div.IV, na wengine wamepata points 43 wamepewa Div. 0

hii sio kawaida ni zaidi ya uchakachuaji.

UCHAMBUZI KWA KIFUPI HUU HAPA,,!! Kuwa makini uone utofauti au usawa wa points ila utofauti wa ufaulu.

Na kwanini mabadiliko haya yaje, kwa manufaa ya nani baada ya Bunge kukataa upuuzi huu???

SHULE YA SEKONDARI WIGAMBA YA MBEYA MJINI- ENEO LA ISANGA- MFANO WA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

No. ya Mtahiniwa, Points. Division
S3133/0088 45 IV
S3133/0082 45 0
S3133/0092 42----------------- 0
S3133/0095 43----------------- 0
S3133/0099 44-----------------0
S3133/0100 42------------------IV
S3133/0101 43------------------IV
S3133/0103 44------------------IV

SHULE NYINGINE YA JINA LA MH. NCHIMBI
-------------------------------------------------------------------------------------------------

DR. NCHIMBI SEC. SCHOOL

S1877/0001 43--------------------IV
S1877/0003 43-------------------IV
S1877/0006 46-------------------IV
S1877/0007 46-------------------IV
S1877/0028 44------------------IV
S1877/0037 45------------------0

Ndugu Watanzania wenzangu, mimi naona haya ni maafa kuliko UKIMWI, NA TSUNAMI ukilinganisha na anguko hili.

Tujiulize, na tutafakari kwa ufasaha kisha tutumie busara kusaidia Taifa letu kwani linatufia kutokana na kuwafumbia macho mafisadi wakichakachua matokeo ya uchaguzi, hadi matokeo ya elimu za ndugu zetu ambao sasa wengine wanajichoma visu, na hata kujitia vitanzi kutokana na mafisadi wachache wanaotesa Taifa letu.

MASWALI,,??

Ni kigezo kipi kimetumika kuchukua mfumo huu wa kupanga matokeo??
Mfumo huu umekuwa bora wapi, na katika nchi ipi iliyoendelea??
Je, utafiti gani ulifanyika ukaridhisha kuwa mtindo huu wa kupanga matokeo utakuwa na tija kwa taifa kuliko uliokuwepo awali?
Kama utafiti ulifanywa, nani alifanya na matokeo yake yaliripotiwa kwa nani?
Je, bunge la Jamhuri lilihusishwa na kuidhinisha utaratibu huu??

CCM INATUMALIZA KABISA, KABISA,,,!!! MUNGU ATUSAIDIE ILA NI MUHIMU SANA SOTE TUSHIRIKI KULETA MABADILIKO NCHINI PETU.

------------------------------------------------------------------------------------------------------
ONA MATOKEO YA WANAFUNZI HAO NILIOWATOLEA MFANO KWA UNDANI UKIFUATA NAMBA ZAO UONE UFAULU WA KILA MMOJA NA POINTS WALIZOPEWA NA UTOFAUTI MA MADARAJA WALIYOPEWA.

Ukitaka kujiridhisha zaidi ingia kwenye tovuti ya NECTA uhakikishe ninachokisema hapa kisha tusaidiane kudai haki.
.................................................. .................................................. .............................

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S1877 DR. NCHIMBI SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 0 DIV-II = 4 DIV-III = 19 DIV-IV = 50 DIV-0 = 77
CNO SEX AGGT DIV DETAILED SUBJECTS

S1877/0001 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'

S1877/0002 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0003 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0004 F 28 III CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'

S1877/0005 F 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'B' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F' COMM - 'F' B/KEEPING - 'E'

S1877/0006 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0007 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0008 F 24 II CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'E'

S1877/0009 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0010 F 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0011 F 47 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - '

S1877/0028 F 44 IV CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S1877/0037 F 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

--------------------------------------------------------------------------------------------------
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS

S3133 WIGAMBA SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 1 DIV-II = 10 DIV-III = 14 DIV-IV = 57 DIV-0 = 34

S3133/0082 M 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0083 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'

S3133/0084 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'

S3133/0085 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0086 M 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'

S3133/0087 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'

S3133/0090 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'

S3133/0091 M 34 IV CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'E'

S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'

S3133/0093 M 39 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'

S3133/0094 M 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0096 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0097 M 26 III CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'B'

S3133/0098 M 32 IV CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'C'

S3133/0099 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0100 M 42 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0101 M 43 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0102 M 37 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'

S3133/0103 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'

S3133/0104 M 39 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F'​
 
Leo nimeanza kuona maajabu ya dunia pale nilipokutana na mambo ya ajabu sana katika matokeo ya kidato cha nne kwa kukuta division 4 ya point 43. Hivi wadau elimu yetu kwanni tunaruhusu wanasiasa waichezee kias hiki?
 
Leo nimeanza kuona maajabu ya dunia pale nilipokutana na mambo ya ajabu sana katika matokeo ya kidato cha nne kwa kukuta division 4 ya point 43. Hivi wadau elimu yetu kwanni tunaruhusu wanasiasa waichezee kias hiki?
weka supporting document!
 
Wiz mpk wa fikra tunaibiw hku tunajiona.chenga tu ila fine tunaandaliw angalau ht wahudum wa ndan wanaojua kusom aina za dawa ht ukimwachia mtot roho haiwi juu sn,form four ya dvs 4 n 5 haipishn sn na std 7 thy ar equivalent bt not equal.
 
Evidence please or else uzi wako si wa kuaminiwa hata kidogo

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
nimeangalia matokeo hayo hadi sasa naona nyota tu kichwani, siamini jinsi wanasiasa wanavyoandaa tabaka la wasema 'ndiyo mzee' kama hali itaendelea hivi ni HATARI SANA kwa watoto wetu
 
Leo nimeanza kuona maajabu ya dunia pale nilipokutana na mambo ya ajabu sana katika matokeo ya kidato cha nne kwa kukuta division 4 ya point 43. Hivi wadau elimu yetu kwanni tunaruhusu wanasiasa waichezee kias hiki?

Tukicheza na Serikali ya Maccm hakya Mungu itafikia mtu anamaliza Chuo Kikuu hajui kusoma wala kuandika... Elimu ya Tanzania inashuka vibaya.. Ukiangalia kwenye mtandao wa Ranking Web of Universities UDSM ambacho ndiyo chuo tunachojivunia kwa kipindi cha miezi sita kimeporomoka kutoka nafasi ya 12 hadi nafasi ya 27 kwa Ubora nyuma ya Makerere na Nairobi Universities... Kwa mujibu wa mtandao huo hivi ndivyo vyuo kumi bora kwa Tanzania kwa mujibu wa mtandao huo (Africa | Ranking Web of Universities)

Country ----- Africa ---- World rank
1. UDSM ---- 27-------- 2284
2. Sokoine ------92 -------- 5549
3. Muhimbili -----116 -------- 7040
4. OUT/Open----- 132-------- 7085
5. H. Kairuki ------163 --------9017
6. Mzumbe --------191 ------ 10046
7. KCMC ---------- 230-------- 11367
8. IFM ------------ 291--------- 12728
9. St. August/Mwz-- 320 --------13405
10. Tumaini/Iringa---- 340-------- 13800

Kwa mwendo unaoendelea tutegemee kushuka zaidi Afrika na dunia...
 
Kusema ukweli binafsi huwa nafikiria sana sisi kama Taifa la Tanzania tunakwenda wapi? Hatujielewi hapa Duniani tuna-play part gani?
 
hv watz mbona 2napenda kulalamika sana? kwan huo c utaratibu mpya wa kupanga matokeo! mbona kenya na ug wanatumia wastan? mbona vyuon kinatumika k2 kinachoitwa G.P.A? kwani nyie mnaolalamika kwamba huo utaratibu unashusha kiwango cha elmu tz hebu 2peni ushahidi
 
Mmesahau haya

Jedwali Na 1
MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU​
ALAMA​
UWIGO WA ALAMA​
IDADI YA ALAMA​
TAFSIRI​
A​
75 - 100​
26​
Ufauli Uliojipambanua​
B+​
60 - 74​
15​
Ufaulu bora sana​
B​
50- 59​
10​
Ufaulu mzuri sana​
C​
40 - 49​
10​
Ufaulu mzuri​
D​
30 - 39​
10​
Ufaulu Hafifu​
E​
20 - 29​
10​
Ufaulu hafifu sana​
F​
0 - 19
20​
Ufaulu usioridhisha​

Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.
Jedwali Na 2
MUUNDO WA MADARAJA​
MUUNDO WA ZAMANI
MUUNDO MPYA
MAELEZO
POINTI
DARAJA
POINTI
DARAJA
7-1717-17I
Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana​
18-21II18-24II
Kundi la ufaulu mzuri sana​
22-25III25-31III
Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani​
26-33IV32-47IVKundi ufaulu hafifu
34-35048-49VKundi la ufaulu usioridhisha

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom