NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
The Story:
Jana usiku majira ya saa tatu hivi kasoro nikiwa natoka zangu kusalimia marafiki nilipita eneo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vifupi (Dom) na kwa mbali nikaona vijana wawili wamesimama na binti wa kama miaka 25 na yule binti analia. Ikabidi nijongee kujua nini kinaendelea. Nilisikitika nikatamani kama nisingeenda
Issue ni kwamba binti alikuwa amekutana na jmaa yake eneo hilo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vidogovidogo na inaonekana katika kunogewa jamaa akaomba mzigo na akapatiwa. Sasa katikati ya starehe ndio wale vijana wawili wakawaona na wakakasirika kwa yale madudu yaliyokuwa yakifanyika na wakapiga kelel "nyie hamjaona guest mnatufanyia uchafu maeneo haya" na baada ya jamaa kusikia hivyo akakimbia na kumuacha chini na jamaa wawili wakajaribu kumkimbiza bila mafanikio (kwa maelezo yao anafaa kushiriki Olympic).
Kwa haraka yule binti ni mwanafunzi wa Chuo kimoja wapo hapa Dom na ni mwaka wa pili. Nikamuuliza yule binti kwa nini umefanya ujinga huu??? Hana la kujibu zaidi ya kulia. Wale vijana wawili wakamzaba vibao kama viwili vitatu nikawaambia muacheni aende zake hamna haja ya kumpiga maana kama ni somo amelipata.
Muda wote toka jana nikawa najiuliza, hivi mwenye tatizo hapa ni nani?? Ni huyu kijana au ni binti?? Sijui nani anakosa kati yao. Labda mtanisaidia kufikia conclusion hapa
Ila nagundua huyu binti ni mpuuzi TENA NASISITIZA NI MPUUZI KABISA, unakubali kuvuliwa nguo sehemu ya uwanja na watu wanapita; mwenzako kafungua tu zip kiasi ikitokea issue anatoka mkuku
Dada zangu, aibu hizi, tena msomi kabisa wa mwaka wa pili....plz and over plz...respect yourself, msikubali kilaini namna hii na kudhalilika.
Kwa ufahamu wangu (niko tayari kubadilisha mtazamo nikielimishwa) women can stand the heat more than men can do, na mkituachia sisi hata kwenye train na kwenye masoko tutashusha zip na tutapiga tu
Jana usiku majira ya saa tatu hivi kasoro nikiwa natoka zangu kusalimia marafiki nilipita eneo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vifupi (Dom) na kwa mbali nikaona vijana wawili wamesimama na binti wa kama miaka 25 na yule binti analia. Ikabidi nijongee kujua nini kinaendelea. Nilisikitika nikatamani kama nisingeenda
Issue ni kwamba binti alikuwa amekutana na jmaa yake eneo hilo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vidogovidogo na inaonekana katika kunogewa jamaa akaomba mzigo na akapatiwa. Sasa katikati ya starehe ndio wale vijana wawili wakawaona na wakakasirika kwa yale madudu yaliyokuwa yakifanyika na wakapiga kelel "nyie hamjaona guest mnatufanyia uchafu maeneo haya" na baada ya jamaa kusikia hivyo akakimbia na kumuacha chini na jamaa wawili wakajaribu kumkimbiza bila mafanikio (kwa maelezo yao anafaa kushiriki Olympic).
Kwa haraka yule binti ni mwanafunzi wa Chuo kimoja wapo hapa Dom na ni mwaka wa pili. Nikamuuliza yule binti kwa nini umefanya ujinga huu??? Hana la kujibu zaidi ya kulia. Wale vijana wawili wakamzaba vibao kama viwili vitatu nikawaambia muacheni aende zake hamna haja ya kumpiga maana kama ni somo amelipata.
Muda wote toka jana nikawa najiuliza, hivi mwenye tatizo hapa ni nani?? Ni huyu kijana au ni binti?? Sijui nani anakosa kati yao. Labda mtanisaidia kufikia conclusion hapa
Ila nagundua huyu binti ni mpuuzi TENA NASISITIZA NI MPUUZI KABISA, unakubali kuvuliwa nguo sehemu ya uwanja na watu wanapita; mwenzako kafungua tu zip kiasi ikitokea issue anatoka mkuku
Dada zangu, aibu hizi, tena msomi kabisa wa mwaka wa pili....plz and over plz...respect yourself, msikubali kilaini namna hii na kudhalilika.
Kwa ufahamu wangu (niko tayari kubadilisha mtazamo nikielimishwa) women can stand the heat more than men can do, na mkituachia sisi hata kwenye train na kwenye masoko tutashusha zip na tutapiga tu