Plz and over plz dada zangu.....

NewDawnTz

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
1,667
362
The Story:
Jana usiku majira ya saa tatu hivi kasoro nikiwa natoka zangu kusalimia marafiki nilipita eneo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vifupi (Dom) na kwa mbali nikaona vijana wawili wamesimama na binti wa kama miaka 25 na yule binti analia. Ikabidi nijongee kujua nini kinaendelea. Nilisikitika nikatamani kama nisingeenda

Issue ni kwamba binti alikuwa amekutana na jmaa yake eneo hilo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vidogovidogo na inaonekana katika kunogewa jamaa akaomba mzigo na akapatiwa. Sasa katikati ya starehe ndio wale vijana wawili wakawaona na wakakasirika kwa yale madudu yaliyokuwa yakifanyika na wakapiga kelel "nyie hamjaona guest mnatufanyia uchafu maeneo haya" na baada ya jamaa kusikia hivyo akakimbia na kumuacha chini na jamaa wawili wakajaribu kumkimbiza bila mafanikio (kwa maelezo yao anafaa kushiriki Olympic).

Kwa haraka yule binti ni mwanafunzi wa Chuo kimoja wapo hapa Dom na ni mwaka wa pili. Nikamuuliza yule binti kwa nini umefanya ujinga huu??? Hana la kujibu zaidi ya kulia. Wale vijana wawili wakamzaba vibao kama viwili vitatu nikawaambia muacheni aende zake hamna haja ya kumpiga maana kama ni somo amelipata.

Muda wote toka jana nikawa najiuliza, hivi mwenye tatizo hapa ni nani?? Ni huyu kijana au ni binti?? Sijui nani anakosa kati yao. Labda mtanisaidia kufikia conclusion hapa

Ila nagundua huyu binti ni mpuuzi TENA NASISITIZA NI MPUUZI KABISA, unakubali kuvuliwa nguo sehemu ya uwanja na watu wanapita; mwenzako kafungua tu zip kiasi ikitokea issue anatoka mkuku

Dada zangu, aibu hizi, tena msomi kabisa wa mwaka wa pili....plz and over plz...respect yourself, msikubali kilaini namna hii na kudhalilika
.

Kwa ufahamu wangu (niko tayari kubadilisha mtazamo nikielimishwa) women can stand the heat more than men can do, na mkituachia sisi hata kwenye train na kwenye masoko tutashusha zip na tutapiga tu
 
kwa wanaohusika.
wamekuskia
baadhi ya wadada si wadada wote wanakubali ubanjuliwa vchakan,kwenye gari,ofcn au uwambazi mwa ukuta
 
Hii nayo ya mwaka kuna watu bado wanado kwenye vichaka mpaka leo??
Migesti imejazana kibao tena ya bei rahisi
 
Wote ni wajinga tu,wapuuzi na wasiojiheshimu......
Hakuna cha ye mwanaume anafungua tu zipu,he is also very low and cheap kufungua zipu kwa lengo la ku-do barabarani.
 
wa kina nani wanaowavua? both take the blame, sema tu jamaa hakustand up for her, inatakiwa amwage kabisa hujo jamaa, hachelewi kukimbia akamuacha ndani na watoto anapoingia mwizi.
 
The Story:
Jana usiku majira ya saa tatu hivi kasoro nikiwa natoka zangu kusalimia marafiki nilipita eneo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vifupi (Dom) na kwa mbali nikaona vijana wawili wamesimama na binti wa kama miaka 25 na yule binti analia. Ikabidi nijongee kujua nini kinaendelea. Nilisikitika nikatamani kama nisingeenda

Issue ni kwamba binti alikuwa amekutana na jmaa yake eneo hilo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vidogovidogo na inaonekana katika kunogewa jamaa akaomba mzigo na akapatiwa. Sasa katikati ya starehe ndio wale vijana wawili wakawaona na wakakasirika kwa yale madudu yaliyokuwa yakifanyika na wakapiga kelel "nyie hamjaona guest mnatufanyia uchafu maeneo haya" na baada ya jamaa kusikia hivyo akakimbia na kumuacha chini na jamaa wawili wakajaribu kumkimbiza bila mafanikio (kwa maelezo yao anafaa kushiriki Olympic).

Kwa haraka yule binti ni mwanafunzi wa Chuo kimoja wapo hapa Dom na ni mwaka wa pili. Nikamuuliza yule binti kwa nini umefanya ujinga huu??? Hana la kujibu zaidi ya kulia. Wale vijana wawili wakamzaba vibao kama viwili vitatu nikawaambia muacheni aende zake hamna haja ya kumpiga maana kama ni somo amelipata.

Muda wote toka jana nikawa najiuliza, hivi mwenye tatizo hapa ni nani?? Ni huyu kijana au ni binti?? Sijui nani anakosa kati yao. Labda mtanisaidia kufikia conclusion hapa

Ila nagundua huyu binti ni mpuuzi TENA NASISITIZA NI MPUUZI KABISA, unakubali kuvuliwa nguo sehemu ya uwanja na watu wanapita; mwenzako kafungua tu zip kiasi ikitokea issue anatoka mkuku

Dada zangu, aibu hizi, tena msomi kabisa wa mwaka wa pili....plz and over plz...respect yourself, msikubali kilaini namna hii na kudhalilika
.

Kwa ufahamu wangu (niko tayari kubadilisha mtazamo nikielimishwa) women can stand the heat more than men can do, na mkituachia sisi hata kwenye train na kwenye masoko tutashusha zip na tutapiga tu

Na yeye alishindwa nini kubenua kofuli jamaa aonje! kwani lazima atoe zote? angekua hajavua na yeye angetoka baruuu!!!! wajinga ndiyo waliwao, mwongeze kibao kingine huyo! ananidhalilisha mimi kwa kujihuisha na mazingira
 
wa kina nani wanaowavua? both take the blame, sema tu jamaa hakustand up for her, inatakiwa amwage kabisa hujo jamaa, hachelewi kukimbia akamuacha ndani na watoto anapoingia mwizi.

Me nakubaliana na wewe Carmel, ila bado naamini kwamba women you have the chance to stand more than men can do. Ukizubaa men atapiga tutu popote na nadhani ni hatari ladies wanapaswa kuwa makini nayo

Ninaamini kama binti angekataa kwa nguvu yote kudhalilishwa jamaa angetuliza mzuka na angekubali kuingia gharama, say ya guest house.
 
Na yeye alishindwa nini kubenua kofuli jamaa aonje! kwani lazima atoe zote? angekua hajavua na yeye angetoka baruuu!!!! wajinga ndiyo waliwao, mwongeze kibao kingine huyo! ananidhalilisha mimi kwa kujihuisha na mazingira

Mkuu umenifanya nimecheka.....binti nadhani alinogewa zaidi hadi akasahau mazingira...kachojoa zote na hapa ndo utata ulipo..alinogewa mbaya
 
duuuuhhh
kama kweli huyo dada alikubali kwa hiari yake basi ni kosa lake..

lakini mie sijaona sababu yeyote ya hao vijna wengine wawili kumpiga makofi..
kwani hapo ni udhalilishaji sasa....
Binti mwenyewe kashaona aibu ya kutosha halafu wenyewe wampiga tena..
vitu kama hivi vintamuumiza milee..
ndo maana mabinti wengi wanakuwa depress.

kwa kweli nampa pole sana..
wangesubiri hata giza liingie afadheli..
 
hapo wote wa kulaumiwa kwani kulikuwa na haja gani ya kuchojolea nguo barabarani wakati miguest house imejaa kibao............
 
maisha ya wanafunzi ni magumu sana


Ni kweli Maty, ila nadhani hakupaswa kujidharaulisha namna hii.....binti wa chuo cha elimu ya juu kabisa...hail no, huu ni uboga.

Na kama ndo kucheleweshwa mikopo basi mpaka serikali irekebishe utoaji mikopo on time basi watoto wetu na wadogo zetu watakuwa wamepigwa mbaya mitaani
 
On the other side of the Coin, Ts an adventure!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

what about those do it on office table?, In the car, bathroom, etc.............................Don take this personal..
 
On the other side of the Coin, Ts an adventure!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

what about those do it on office table?, In the car, bathroom, etc.............................Don take this personal..


Mkuu kama kuna kausekreti kidogo, we kula maadam waungwana wasione na wakati uwe unaruhusu..................angalau kuliko hii ya kwenye open ground na ka mwanga ka saa mbili jioni
 
Starehe popote bana, ili mradi hujamzonga mtu. Hao waliowakurupua mi ndo nawaona washamba...
 
The Story:
Jana usiku majira ya saa tatu hivi kasoro nikiwa natoka zangu kusalimia marafiki nilipita eneo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vifupi (Dom) na kwa mbali nikaona vijana wawili wamesimama na binti wa kama miaka 25 na yule binti analia. Ikabidi nijongee kujua nini kinaendelea. Nilisikitika nikatamani kama nisingeenda

Issue ni kwamba binti alikuwa amekutana na jmaa yake eneo hilo ambalo kuna uwanja na pembeni vijichaka vidogovidogo na inaonekana katika kunogewa jamaa akaomba mzigo na akapatiwa. Sasa katikati ya starehe ndio wale vijana wawili wakawaona na wakakasirika kwa yale madudu yaliyokuwa yakifanyika na wakapiga kelel "nyie hamjaona guest mnatufanyia uchafu maeneo haya" na baada ya jamaa kusikia hivyo akakimbia na kumuacha chini na jamaa wawili wakajaribu kumkimbiza bila mafanikio (kwa maelezo yao anafaa kushiriki Olympic).

Kwa haraka yule binti ni mwanafunzi wa Chuo kimoja wapo hapa Dom na ni mwaka wa pili. Nikamuuliza yule binti kwa nini umefanya ujinga huu??? Hana la kujibu zaidi ya kulia. Wale vijana wawili wakamzaba vibao kama viwili vitatu nikawaambia muacheni aende zake hamna haja ya kumpiga maana kama ni somo amelipata.

Muda wote toka jana nikawa najiuliza, hivi mwenye tatizo hapa ni nani?? Ni huyu kijana au ni binti?? Sijui nani anakosa kati yao. Labda mtanisaidia kufikia conclusion hapa

Ila nagundua huyu binti ni mpuuzi TENA NASISITIZA NI MPUUZI KABISA, unakubali kuvuliwa nguo sehemu ya uwanja na watu wanapita; mwenzako kafungua tu zip kiasi ikitokea issue anatoka mkuku

Dada zangu, aibu hizi, tena msomi kabisa wa mwaka wa pili....plz and over plz...respect yourself, msikubali kilaini namna hii na kudhalilika
.

Kwa ufahamu wangu (niko tayari kubadilisha mtazamo nikielimishwa) women can stand the heat more than men can do, na mkituachia sisi hata kwenye train na kwenye masoko tutashusha zip na tutapiga tu
................mwenye tatizo ni wewe,nini cha ajabu ulichoona hapo kiasi cha kupoteza muda wako kuandika humu na kutufanya sisi tuome ujinga huo.:frusty:
 
Back
Top Bottom