The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
hayuko confortable na ndoa cause anaona kila anachofanya mme hakithamini ...
Mwambie akiwa anaenda kupika chakula amwambie mumewe kuwa leo nakupikia chakula wakimaliza kula amuulize mumewe umefurahi chakula nilichokupikia kama akisema sio kizuri amuulize sababu ni kwanini na pia amuulize mbona akipika HG anasifia chakula chake wakati yeye akipika cha kwake inakuwa tatizo.
Pili tabia ya mumewe kuingia jikoni na kufungua makabati akae chini na amuulize ni kwanini na isiishie kulalamika wakati hajamuuliza muhusika kwanini anafanya hiyo tabia.
Tatu wabadilishe HG au ikiwezekana wakae muda bila kuwa na HG ili aone reaction ya mumewe itakuwaje nafikiri itakuwa mwanzo mzuri wa kujua tatizo liko wapi