Bei ni kubwa sana! Mimi nimefika Kisukulu mara 1 tu nilipapenda kwani nadhani\natumai kuwa ni The Highest point in Dar ambayo unaona sehemu kubwa ya Dar kuliko yoyote yaani niliweza kuona Maeneo ya Mikocheni,Masaki,Oysterbay,CBD hadi Mbagala na nyuma Mbezi ya Kimara tatizo ni miundo mbinu ya kufika huko... Lakini Jiji lingekuwa na mipango enzi hizo pangestahili bei hiyo... mjumba mengi ya huko yamejengwa kiholelaholela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.