Nimetumiwa text msg kuwa kuna ndege imeanguka punde na kugonga gari eneo la segera na barabara imefungwa. Wadau mnaombwa kufuatilia news hii
======
UPDATE:
It's confirmed, ndege imeanguka eneo hilo (maeneo ya Kabuku) na imeliangukia gari ambalo inahisiwa ni la watalii, mwandishi wetu anafuatilia kwa karibu tutawafahamisha zaidi
======
UPDATE:
It's confirmed, ndege imeanguka eneo hilo (maeneo ya Kabuku) na imeliangukia gari ambalo inahisiwa ni la watalii, mwandishi wetu anafuatilia kwa karibu tutawafahamisha zaidi