Pinda alipokutana na Mbunge mpya wa Chadema

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,896
"Bwana Mdogo, Hapa Hakuna Peoples Power, Kuna Goverment Power"

1.JPG


"Na mimi ndiye kinara wa mambo ya Serikali hapa Bungeni!"

Picha inatoa taswira yenye kutoa tafsiri nyingi tu, cha msingi kuna tofauti kubwa ya itikadi kati ya wawili hawa ukisoma nyuso na macho yao.

Kwa hisani ya Mjengwa blog
 
Nje ya ukumbi wa bunge Pinda alipokutana ana kwa ana na Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe Haule ambaye ametamka wazi kuwatuhumu mawaziri kuwa ni wizi wa mali ya umma.

Huu moto wa wabunge vijana nani atauzima kama si wazee kuachia ngazi na kuwapisha vijana waijenge nchi? Huwezi kuamini kijana mdogo kutoka Arumeru Mashariki kuingia Bungeni na kuanza kudodosa machafu yanayofanywa na serikali yetu bila aibu.

04_12_mvn0fg.jpg
 
"Bwana Mdogo, Hapa Hakuna Peoples Power, Kuna Goverment Power"

1.JPG


"Na mimi ndiye kinara wa mambo ya Serikali hapa Bungeni!"

Picha inatoa taswira yenye kutoa tafsiri nyingi tu, cha msingi kuna tofauti kubwa ya itikadi kati ya wawili hawa ukisoma nyuso na macho yao.

Kwa hisani ya Mjengwa blog


PINDA:
Bwana mdogo karibu sana kwenye sistimu.... na mimi ndo kiongozi wa mambo ya humu kisiri-kali. Nitawatuma vijana wakulete nyumbani pale nikuintrodyuzi kwa Tunda. Ee, kusema kweli CDM tunawaheshimu sana lakini mara nyingi huwa nawaambia wenzako faraghani kuwa jamani ifike mahali tutambue kwamba siri-kali yetu hii ni nzuri. Jukumu letu la pamoja linapashwa kuwa ni kuisaidia ipate utulivu wa kutekekeza ahadi zake nyingi na nzuri. Sasa ili ifanikiwe kufanya hivyo mi nasema ni wajibu wetu kuipa kivuli, yaani kuifunika na siyo kuifedhehesha kwa kuifunua funua hivi; unanielewa bwana mdogo?......


NASARI:
Siwezi!
 
04_12_mvn0fg.jpg


Yaani mwenzetu umetugeuka wakati tuko column moja? Sikutegemea unichomee utambi hadharani, ulipashwa kuja ofisini tukakaa na kuongea pamoja tukaona mchakacho huu tuumalizeje.
 
04_12_mvn0fg.jpg


Tanzania sio ya CCM

Akichangia mjadala huo, asubuhi na pia jioni,
Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) aliwafyatua mawaziri kadhaa akisema kuwa wanaongoza kwa kutafuna pesa za Watanzania na kumtaja Waziri wa Fedha Mustafa Mkullo kuwa kinara wa wizi huo.

"Mheshimiwa Naibu Spika, inashangaza na kusikitisha kuwa nchi inatafunwa. Wanaofanya haya ni mawaziri wetu. Nchi inakufa na tuelewe kuwa Tanzania sio mali ya CCM, ni ya Watanzania wote.
"Mawaziri wetu wamekuwa mchwa, wanaangamiza nchi na leo nitamtaja waziri anayeongoza kwa kutafuta fedha za Watanzania. Ni Waziri wetu wa Fedha, Mustafa Mkulo. Ameuza viwanja, amelidanganya Bunge baada ya kuivunja CHC," alisema mbunge huyo.Awali Filikunjombe alisema Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, alikuwa amelidanganya Bunge kwa kudai amefuata maagizo yote ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).Alisema kuwa ana ushahidi wa kutosha jinsi mawaziri hao wanavyoitafuna nchi na kuhoji Bunge linachukua hatua gani inapobainika mawaziri wamelidanganya Bunge.
 
04_12_mvn0fg.jpg


Yaani mwenzetu umetugeuka wakati tuko column moja? Sikutegemea unichomee utambi hadharani, ulipashwa kuja ofisini tukakaa na kuongea pamoja tukaona mchakacho huu tuumalizeje.
Sasa sijui Kijana kama na kwenye hizo Kula 70 za kutokuwa na imani hutoshusha m-signature?
 
04_12_mvn0fg.jpg


Tanzania sio ya CCM

Akichangia mjadala huo, asubuhi na pia jioni,
Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) aliwafyatua mawaziri kadhaa akisema kuwa wanaongoza kwa kutafuna pesa za Watanzania na kumtaja Waziri wa Fedha Mustafa Mkullo kuwa kinara wa wizi huo.

"Mheshimiwa Naibu Spika, inashangaza na kusikitisha kuwa nchi inatafunwa. Wanaofanya haya ni mawaziri wetu. Nchi inakufa na tuelewe kuwa Tanzania sio mali ya CCM, ni ya Watanzania wote.
"Mawaziri wetu wamekuwa mchwa, wanaangamiza nchi na leo nitamtaja waziri anayeongoza kwa kutafuta fedha za Watanzania. Ni Waziri wetu wa Fedha, Mustafa Mkulo. Ameuza viwanja, amelidanganya Bunge baada ya kuivunja CHC," alisema mbunge huyo.Awali Filikunjombe alisema Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, alikuwa amelidanganya Bunge kwa kudai amefuata maagizo yote ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).Alisema kuwa ana ushahidi wa kutosha jinsi mawaziri hao wanavyoitafuna nchi na kuhoji Bunge linachukua hatua gani inapobainika mawaziri wamelidanganya Bunge.

Hapa signature kutoka CCM ni hakika
 
"Bwana Mdogo, Hapa Hakuna Peoples Power, Kuna Goverment Power"

1.JPG


"Na mimi ndiye kinara wa mambo ya Serikali hapa Bungeni!"

Picha inatoa taswira yenye kutoa tafsiri nyingi tu, cha msingi kuna tofauti kubwa ya itikadi kati ya wawili hawa ukisoma nyuso na macho yao.

Kwa hisani ya Mjengwa blog

pinda: dogo karibu bungeni,usije na mambo ya pipoz hapa,achana na hao wakina lisu,wameshatajirika hao.tulia usome upepo kwanza. Nasiri: huyu mzee anazeeka vibaya huyu.anazani mimi ni kama magamba wenzake.
 
Hapo Dogo anamsubiri akiongea pumba tu anamkata kichwa kimoja mpaka ubongo wa pinda utikisike kwa nguvu. Nasari amekaa mkao wa ndoo tu hapa

Bwanamdogo anamsoma Pinda na Pinda yupo yupo tu huku akiongea asichokijua na kutafuta nini cha kuongea, kwani anakwepa kuangaliana macho yasikutane na dogo. Kazi kweli kweli.
 
PINDA:
Bwana mdogo karibu sana kwenye sistimu.... na mimi ndo kiongozi wa mambo ya humu kisiri-kali. Nitawatuma vijana wakulete nyumbani pale nikuintrodyuzi kwa Tunda. Ee, kusema kweli CDM tunawaheshimu sana lakini mara nyingi huwa nawaambia wenzako faraghani kuwa jamani ifike mahali tutambue kwamba siri-kali yetu hii ni nzuri. Jukumu letu la pamoja linapashwa kuwa ni kuisaidia ipate utulivu wa kutekekeza ahadi zake nyingi na nzuri. Sasa ili ifanikiwe kufanya hivyo mi nasema ni wajibu wetu kuipa kivuli, yaani kuifunika na siyo kuifedhehesha kwa kuifunua funua hivi; unanielewa bwana mdogo?......


NASARI:
Siwezi!

Mkuu Mlitika - Umepinda kama Pinda mwenyewe!!! Ha ha haaaaaa! Kwa mtu yeyote ambaye amekuwa akimfuatilia Pinda hivi karibuni hana sababu ya kudhani kuwa hayo siyo maneno ya Pinda
 
04_12_mvn0fg.jpg


Tanzania sio ya CCM

Akichangia mjadala huo, asubuhi na pia jioni,
Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) aliwafyatua mawaziri kadhaa akisema kuwa wanaongoza kwa kutafuna pesa za Watanzania na kumtaja Waziri wa Fedha Mustafa Mkullo kuwa kinara wa wizi huo.

"Mheshimiwa Naibu Spika, inashangaza na kusikitisha kuwa nchi inatafunwa. Wanaofanya haya ni mawaziri wetu. Nchi inakufa na tuelewe kuwa Tanzania sio mali ya CCM, ni ya Watanzania wote.
"Mawaziri wetu wamekuwa mchwa, wanaangamiza nchi na leo nitamtaja waziri anayeongoza kwa kutafuta fedha za Watanzania. Ni Waziri wetu wa Fedha, Mustafa Mkulo. Ameuza viwanja, amelidanganya Bunge baada ya kuivunja CHC," alisema mbunge huyo.Awali Filikunjombe alisema Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, alikuwa amelidanganya Bunge kwa kudai amefuata maagizo yote ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).Alisema kuwa ana ushahidi wa kutosha jinsi mawaziri hao wanavyoitafuna nchi na kuhoji Bunge linachukua hatua gani inapobainika mawaziri wamelidanganya Bunge.

Hapa signature kutoka CCM ni hakika[/QUOTE]

Candid Scope, hakuna signature hapo walikuwa wanazuga tu ili wapotezee upepo wa vijana wanaojivua magamba. Ila ndo watakiona cha moto!!!
 
Hapa signature kutoka CCM ni hakika[/QUOTE]

Candid Scope, hakuna signature hapo walikuwa wanazuga tu ili wapotezee upepo wa vijana wanaojivua magamba. Ila ndo watakiona cha moto!!!

Pinda.jpg


Kwa wabunge wengi wa CCM hawako tayari kumwaga wino kuunga mkono azima ya Zito Kabwe, lakini hilo halihalalishi kuwa tenga zima limejaa samaki waliooza, kuna baadhi watatoka salama ndo hawa akina Filikunjombe. Wimbi la makada wa CCM kuhamia Chadema ni dalili tosha kuwa ndani ya tenga la samaki wanaonuka uozo kuna baadhi bado ni salama na wanatafuta pakutokea kulinda usalama wao.
 
PINDA:
Bwana mdogo karibu sana kwenye sistimu.... na mimi ndo kiongozi wa mambo ya humu kisiri-kali. Nitawatuma vijana wakulete nyumbani pale nikuintrodyuzi kwa Tunda. Ee, kusema kweli CDM tunawaheshimu sana lakini mara nyingi huwa nawaambia wenzako faraghani kuwa jamani ifike mahali tutambue kwamba siri-kali yetu hii ni nzuri. Jukumu letu la pamoja linapashwa kuwa ni kuisaidia ipate utulivu wa kutekekeza ahadi zake nyingi na nzuri. Sasa ili ifanikiwe kufanya hivyo mi nasema ni wajibu wetu kuipa kivuli, yaani kuifunika na siyo kuifedhehesha kwa kuifunua funua hivi; unanielewa bwana mdogo?......


NASARI:
Siwezi!

Nimecheka sana. Unampatia kama kijana fulani wa kipindi cha Jahazi, Clouds
 
1.JPG


Kwa vyo vyote picha hii inatoa taswira ambayo inaibua mengi. Tofauti ya umri wa Pinda na kijana huyu mbunge mpya ni kubwa si kiumri tu hata kimtazamo na kifikra, kwani Pinda yupo yupo mradi liende siku zake ziishe mjengoni na serikalini, lakini kijana ana njaa ya maendeleo na kuwafikiria vijana wenzake wanaotaabika mitaani.
 
Back
Top Bottom