na ni kiongozi gani anayewafunga watendaji wa kijiji pindi wanaposhindwa kutoa zawadi ya BWANA MUKUBWAKwani ni Kiongozi gani ushawahi msikia amekataa Zawadi apewapo na wananchi?
na ni kiongozi gani anayewafunga watendaji wa kijiji pindi wanaposhindwa kutoa zawadi ya BWANA MUKUBWA
Hivi gari la kifahari ni gari la aina gani?.
la milioni mia 500.!!
Unafiki plus...yeye ndio muidhinishaji manunuzi...si angetaa kusaini lisinunuliwe?Bibi Lisu akichangia bajeti leo ameeleza kuwa Pinda alikataa gari la kifahari. Mimi sikulijua hili. Hongera mheshimiwa japo unapigwa vita vikali sana.