Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Amelipa nguvu jeshi la polisi kuua raia kila wanapokaidi wakati ni kinyume na haki za binadamu na utawala wa kisheria.
Kwa kauli ya Pinda askari akiomba rushwa ukakaidi upigwe tu! Pia hii inaleta tafsiri hii kwa wananchi kuwa yeyote atakayekufa ilimradi tu kuna uwepo wa jeshi la polisi basi jeshi la polisi linahusika kwa maana wameruhusiwa na Pinda kuua.
Pinda akumbuke kuwa polisi ndio wanaishi na wananchi,kauli hii ya pinda inaleta uhasama kati ya jeshi la polisi na wananchi kuwa kila atakayekufa ilimradi tu kuna jeshi la polisi,watuhumiwa namba moja ni polisi.Hapa askari wamewekewa mazingira magumu sana katika utendaji wa kazi zao,bila kujali nani kaua na kwa sababu gani mtuhumiwa namba moja ni polisi.
Ikumbukwe tu kuwa unapofanya uchunguzi wa matuko kama haya,wanaohojiwa sana ni wananchi,sasa kama wananchi watatumia ushahidi kwa kufanya reference na kauli ya Pinda ya polisi kuruhusiwa kuua, polisi watachomokaje katika hili?
Na kama wananchi kwa pamoja wakakubaliana kutoa ushahidi wa matukio haya kuwa polisi wanahusika na polisi wanafanya kazi kwa maagizo ya wakuu wao,serikali ya ccm na washiriki wake haiwezi kukwepa tuhuma hizi na serikali itakuwa ndio watuhumiwa wakuu.
Nahitimisha kwa kusema hivi,wananchi hawatakuwa na hawana imani na jeshi la polisi.kwa kuwa jeshi hili linatumika kisiasa na kauli(wapigeni tu..tumechoka) ya waziri mkuu imethibitisha kuwa jeshi la polisi linatumika kisiasa.
Yangu maoni.
Kwa kauli ya Pinda askari akiomba rushwa ukakaidi upigwe tu! Pia hii inaleta tafsiri hii kwa wananchi kuwa yeyote atakayekufa ilimradi tu kuna uwepo wa jeshi la polisi basi jeshi la polisi linahusika kwa maana wameruhusiwa na Pinda kuua.
Pinda akumbuke kuwa polisi ndio wanaishi na wananchi,kauli hii ya pinda inaleta uhasama kati ya jeshi la polisi na wananchi kuwa kila atakayekufa ilimradi tu kuna jeshi la polisi,watuhumiwa namba moja ni polisi.Hapa askari wamewekewa mazingira magumu sana katika utendaji wa kazi zao,bila kujali nani kaua na kwa sababu gani mtuhumiwa namba moja ni polisi.
Ikumbukwe tu kuwa unapofanya uchunguzi wa matuko kama haya,wanaohojiwa sana ni wananchi,sasa kama wananchi watatumia ushahidi kwa kufanya reference na kauli ya Pinda ya polisi kuruhusiwa kuua, polisi watachomokaje katika hili?
Na kama wananchi kwa pamoja wakakubaliana kutoa ushahidi wa matukio haya kuwa polisi wanahusika na polisi wanafanya kazi kwa maagizo ya wakuu wao,serikali ya ccm na washiriki wake haiwezi kukwepa tuhuma hizi na serikali itakuwa ndio watuhumiwa wakuu.
Nahitimisha kwa kusema hivi,wananchi hawatakuwa na hawana imani na jeshi la polisi.kwa kuwa jeshi hili linatumika kisiasa na kauli(wapigeni tu..tumechoka) ya waziri mkuu imethibitisha kuwa jeshi la polisi linatumika kisiasa.
Yangu maoni.