nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Mh.Waziri mkuu Mizengo Pinda akihitimisha ziara yake mkoa wa Kagera leo ametoa agizo kwa wakuu wa mikoa kuangalia athari za majengo na nyumba zitakazobomolewa kutokana na kujengwa kwenye hifadhi ya barabara.
My take: Nionavyo mimi ni kuwa WM amepora madaraka ya Waziri wa Ujenzi.Hiyo ingefanyika kiserikali na sio kishabiki kwa kutaka kujipatia umaarufu kupitia mgongo wa Magufuli.Naona kuna ombwe la uongozi(nyufa za uongozi) katika serikali ya JK.
My take: Nionavyo mimi ni kuwa WM amepora madaraka ya Waziri wa Ujenzi.Hiyo ingefanyika kiserikali na sio kishabiki kwa kutaka kujipatia umaarufu kupitia mgongo wa Magufuli.Naona kuna ombwe la uongozi(nyufa za uongozi) katika serikali ya JK.