mgani da prince
Member
- Jan 6, 2018
- 23
- 13
Hivi pikipiki used ya bei rahisi kbsa naweza pata kwa shingapi
Uko wapi
Hata laki 2 zipo... Kikubwa Jua Unachonunuahivi piki piki used ya bei rahisi kbsa naweza pata kwa shingapi
Mimi Nina 700k nataka chombo ya kazi
Sawa mkuungoja tufatilie tukipata tustuane bas tupate vyombo
NB: Pikipiki chini ya Mil 1.2 kuwa nayo makini
- Jueni hili. Pikipiki zimepanda Bei katika Soko hili pia limesababisha hta Used kupanda Bei pia.
- Ogopa kununua Pikipiki usiyoijua vizuri. Kwahiyo nunua zile ambazo hazina muda mrefu toka zinunuliwe
- Chunguza chombo hasa upande wa Injini kama Haijafunguliwa
- Angalia Nguvu yake hasa kama Ww ushawahi kuwa Dereva
- Angalia kama ni ya Kupiga Kick au ni Push to start. Kama ni kick nyingi achana nayo
Njoo tufanye biasharaMimi Nina 700k nataka chombo ya kazi
HiyoMimi Nina 700k nataka chombo ya kazi