Pigo lingine kwa Lowassa Arusha, watu 10,000 kutoka CHADEMA Wamehamia CCM

Lowassa Kwisha habari yake.

Kuna mambo makubwa mawili. Kwanza tumeshatumia fedha nyingi sana za uchaguzi . pili tuombeeni mungu atufikishie ndugu yetu huyu aone jinsi tingatinga linavyoapa kuwatumikia wa tanzania siyo kikundi cha ma fit iii iii iii saaaaaaa dddddddfd.
 
Na bado hamjatumia pesa nyie fisiem mtauza hadi majengo ya chama, kweli lowasa kawatia hasara na kuful lenu halitaiona ikulu.
 
Hahahahahaa..nimecheka mbaya IT masaki mnajitekenya na kucheka wenyewe..poyeee
 
12144908_929116290513959_2277458183270028778_n.jpg

Mr Chin NAOMBA TCRA IKUSHUGHULIKIE KWA KUTOA TAARIFA ZA UONGO! KESHO UKISIKIA HODI USISHANGAE NI POLISI WATAFIKA KWAKO KUKUKAMATA
 
Ukawa watanyooka tu. Kwani nini wafuasi wa ukawa hoja mnajibu kwa lugha za matusi na kejeli? Yaani hamjiamini kweli kweli. Pia hamtaki kusikia habari mbaya kuhusu vyama vyenu ninyi kwenu ni habari njema tu
 
Aliye kwenye mabadiliko hawezi kugeuka hata ukimpa pesa atachukua nakura hakupi. Msilazimishe ushindi Watu wamechoka na ahadi zauongo.wacheni wawonje mabadiliko.
 

Kama kawaida yako na asikujua na longolongo zako. Naona wame recharge ATM yako. Haina nguvu hata kidogo.

Leo njangwani munabebelea wanafunzi wa shule za secondary huku Dar, hali ngumu mwaka huu.

Unatamani wakati huu wangehamia kwenu angalao hata watano. Dah! Kazi unao kweli.
 
Mmeishiwa sera sisi ndio ARUSHA.na arusha sio ya ccm.ni kilaza mmojammoja amebaki ccm.kwetu ccm ni kitu cha zamani na makazi yake jumba la makumbusho.nukta.
 
Back
Top Bottom