Pigo la tatu kwa Lowassa, bado la Mwisho mwezi Mei

Ni vita ya Mmasai wa Monduli na Mswahili wa Msoga. CCM wanajaribu kutikisa kiberiti cha Lowassa lakini hawamuwezi kabisa, kama walishindwa kumvua gamba hawataweza tena kumzua kugombea urais. Fisadi Lowassa kajipanga kugombea urais kwa tiketi ya CCM na kwa hilo hakuna wa kumzuia.

Utakua humjui Lowasa wewe!! Hii game ndogo kwake, muulize Nape akwambie.
 
Edward Lowassa hawezi kukatiza, tutasikia mengi zaidi bado muda haujafika mbona, ila aanze kujipanga kujibu zile dhuluma alizofanya kumzulumumu yule partner wake kibiashara miaka ile akiwa MKURUGENZI PALE ARUSHA, alipoona UPM unanukia alimfuata na kumtuliza kumbe jamaa bado ina muuma mpaka kesho.

Edward unafiwa na shangazi aliyekuela unakodi ndege kuwahi kuzika na kuwahi Dodoma Mwalimu anakuuliza umefikaje unajiuma uma . 1995

Edward umeuza kiwanja kilichokuwepo maeneo karibu na DIT, wahindi wakati ule walikuhonga dolla laki tano $500,000/-
leo wewe watu wakupe nchi common kuwa serious inatosha mzee, mlipomficha mwalimu juu ya hili, aliibuka katika kikao cha CC wakati huo 1995 na cheque inayoonyesha ukweli wa uuzwaji wa kiwanja hicho..........eeehhh leo watu wakupe nchi.

Edward wapo wanajua uswahiba wako na Peter Serukamba, kumbuka Nairobi mlipokuwa hotelini alikuja mtu mmoja Ndugu Jecha alikuja kukuona, alipoingia akakuta mnafanya kale kamchezo haramu ka kaum luti, wewe hukumuona Jecha , ila Serukamba alimuona, na Jecha akarudi nyuma taratibu na kuondoka, ndio maana leo Jecha akikutana na Serukamba adabu na heshima ni kubwa, safari moja Jecha amempigia simu Serukamba akimuomba amuazime 2millioni atampaka baada ya mwezi, hivyo mpaka leo Serukamba hajataka hata kuidai tena ile hela maana anajua.........2008.

Edward ni wewe umeachanisha ndoa ya Batilda Buriani na mume wake 2006, umeachanisha ndoa ya Rosse kamili na muwe Dr Slaa 2009, umeachanisha ndoa ya Betty Mkwassa mara ya kwanza japo sasa wamerudiana kiaina 2007 sijui itakuaje maana na sasa ndio yuko hapo Dodoma mjini na wewe ndio mbunge, sasa unadunda mitaani na Jenista Mhagama mjane wa watu huyu, ukiwa tayari umeshamzalisha Diwani wa vingunguti Bonnah amesoma Diploma yake pale chuo cha Diplomasia kwa taabu na ujauzito wake japo toto kopi kopi na sura lako, limetoka la kimeru meru halisi tena kuliko mwanao Freddy, Pamela.

Edward ulipokuwa PM watu wanakuja mzee kuna A,B,C unawauliza mwanangu anapata nini hapo? kweli wewe tukupe nchi wewe aaaahhhhhhh common it will be not fair.

Edward Mzee Mangula anafiwa na mtoto wake wa kwanza eti kwa kumfariji unapeleka pole ya milioni 40,000,000, sasa sijui ilikuwa ni kejeli au ni nini? maana Mzee Mangula alizikataa zikarudi kwa aibu ukapeleka wewe cheque ya 5,000,000 ambayo Richard Kasesera aliichukua na fedha zikatumika katika msiba tu.


Edward kumbuka ukiwa PM ulitaka serikali itumie magari ya MACEDES BENZ ndio za serikali, kwani ulishaandaliwa dau la $15,000,000milioni, leo wewe kweli tukupe nchi wewe kweli haya bana haya ni machache muda ukifika watafunguka zaidi wanaoipenda nchi hii


Mimi sio mtetezi wa lowassa ila nikuhakikishie tu anaweza kuwa msafi kuliko 'wengine'
 
Ee Mungu tunaomba maccm yamsimamishe Lowassa ili tukafanye sherehe kabla ya kampeni....


Kwa kuwakumbusha watanzania, huyu mwizi nyang'au Lowassa hata kwake hakubaliki, ndiyo maana hata Alipomsimamisha mkwe wake Sioi Summary kule Arumeru alipigwa kipigo cha mbwa, Arusha alileta lipua lake eti Batilda hahaha.... machalii wa Arusha tukamwambia Batilda kitu gani, ngoma ikalala paleeeee.......

Watanzania pia wajue Lowassa ni zaidi ya mnyama, ni mtu mwenye roho mbaya sana, manake kuamrisha polisi kuua raia ni kama kuwapulizia mbu dawa inayoitwa rungu!

Lowassa ni janga la taifa..
 
Ee Mungu tunaomba maccm yamsimamishe Lowassa ili tukafanye sherehe kabla ya kampeni....


Kwa kuwakumbusha watanzania, huyu mwizi nyang'au Lowassa hata kwake hakubaliki, ndiyo maana hata Alipomsimamisha mkwe wake Sioi Summary kule Arumeru alipigwa kipigo cha mbwa, Arusha alileta lipua lake eti Batilda hahaha.... machalii wa Arusha tukamwambia Batilda kitu gani, ngoma ikalala paleeeee.......

Watanzania pia wajue Lowassa ni zaidi ya mnyama, ni mtu mwenye roho mbaya sana, manake kuamrisha polisi kuua raia ni kama kuwapulizia mbu dawa inayoitwa rungu!

Lowassa ni janga la taifa..

Mbona mnajivua akili wewe na Lampard.....?
 
Hakuna kama Lowassa kwa sasa watanzania wengi tunaimani nae,tunahitaji mtu wakututoa hapa tulipo kwama lowassa anafaa
 
daaaaaaaaaaah!!!
ila kama unataka kujua watu kama akina EL; hebu tafuta series za IRIS,uwatch then utajua what is going on!
Usikute EL akiulizwa ni kwa nini na yeye anautaka uraisi wa tz akajibu hajui!!
 
Hakuna kama Lowassa kwa sasa watanzania wengi tunaimani nae,tunahitaji mtu wakututoa hapa tulipo kwama lowassa anafaa

Kumbe na wewe ni kanjanja kama wale! Lowasa anafaa kwa lipi alilowahi kufanya ktk Taifa hili? Njaa zenu zitawaua kama mwenzenu kapt. Komba! Miongoni mwa watu wa kuogopwa ktk Taifa hili ni pamoja na EL maana si mwadilifu hata kidogo,ni miongoni mwa mafisadi wanatusumbua ktk Taifa hili la TANGANYIKA.Na nakuhakikishia kamwe EL hawezi kuwa PRESIDER hata mkiwamaliza albino wetu kwa matambiko yenu!
 
Ee Mungu tunaomba maccm yamsimamishe Lowassa ili tukafanye sherehe kabla ya kampeni....


Kwa kuwakumbusha watanzania, huyu mwizi nyang'au Lowassa hata kwake hakubaliki, ndiyo maana hata Alipomsimamisha mkwe wake Sioi Summary kule Arumeru alipigwa kipigo cha mbwa, Arusha alileta lipua lake eti Batilda hahaha.... machalii wa Arusha tukamwambia Batilda kitu gani, ngoma ikalala paleeeee.......

Watanzania pia wajue Lowassa ni zaidi ya mnyama, ni mtu mwenye roho mbaya sana, manake kuamrisha polisi kuua raia ni kama kuwapulizia mbu dawa inayoitwa rungu!

Lowas

sa ni janga la taifa..

Mkuu upo sawa kabisa! tatizo la watanganyika ni wepesi kusahau na niwepesi kurubunika! ukiona mtu anasema LOWASA anafaa kuwa RAISI,basi jua huyo hamnazo au njaa inamsumbua au ni MCHAWI wa maendeleo ya Taifa hili.LOWASA kumkabidhi nchi ni sawa na FISI kumkabidhi bucha ya NYAMA.
 
Baba wa taifa hayati mwl Julius Kambarage Nyerere mwaka 1995 alimkataa EL kugombea urais kwa sababu zipi? Mbona EL ni mchapakazi? Nafikiri Nyerere alikuwa hampendi EL kwa sababu ya chuki binafsi.
Mwalimu alimuona kijana mroho
wa madaraka yupo tayari hata kuua kama alivyomwaga mapesa mpaka chama chake kikamuhoji.
 
Bwana Lowassa,

Nikupe pole nyingine baada ya ile ya maonyo yangu kwako nilipochukua wasaa kukueleza vichomi ulivyotegeshewa na ambavyo vimeanza kukuchinjia baharini tena kuleeeee Nungwiiiii na Chamwinooo! Jikumbushe hapa Pigo la Pili kwa Lowassa, bado la Tatu na la Mwisho! - Page 13

Naaam, Umemaliza kifungo chako cha miezi kumi na miwili, Bado unaamini hamkukutana barabarani? Hahahaaa kaamua kula sahani moja na wewe, iwe mchana ama usiku, jua lichomoze ama lizame, kamwe! Hautaiona pepo ya magogoni.

Ndio hilo ni pigo la tatu nililokueleza mwaka jana. Unafahamu kilichowapata wale watoto wa chuo Cha IFM uliowarubuni watangaze kwenye gazeti la nipashe kuwa "IFM wamuunga mkono Lowassa"? Wenye suti nyeusi washafanya yao. Hawana chuo tena huku Rais wa IFM wa 2013/14 aliyekwenda kuwarubuni wanafunzi wa IFM yeye kataftiwa ulaji ubalozi wa UK na EL

Unajua kinachowapata wenyeviti wa CCM mikoani Mara na Geita waliosimama na kukunadi hadharani?

Bwana Lowassa wajua kwa sasa ni kharamu kujipambanua kuwa unamuunga mkono Lowasa, huchelewi kukutana na Caldron?

Hayo ni maagizo ya kikao cha mkuu wa Caldron na vijana kuhakikisha wanakuzima kila kona, muulize Madafa atakwambia japo yupo upande wa pili, pia Apson anaujua mchezo huu ila hawezi kukwambia kwakuwa anaheshimu makubaliano ya Ada Estate (Gentleman Agreement) kati yako na mwenyekiti kipindi kileee.

Bwana Lowassa, nakupa ukweli kuwa mkataba wenu ushakufa, kumbuka kikao cha dodoma mwezi juzi jamaa aligoma kuonana na wewe hata ulipojaribu kila njia angalau kupiga nae picha tu lakini alikukwepa, kumbuka alichojibiwa yule uliyemtuma akuombee miadi ya kukutana na mwenyekiti walau msalimia, kosa kubwa ulilolifanya nikuwa ulishajipanga na wapiga picha za magazeti ili kujijenga.

Vita vyako si vya Damu na Nyama, Bali ni vya pepo wabaya wa Magogoni wanaokula na kusaza mikononi mwa mwenyekiti wako!

Walijua PIGO la MWISHO lililo mbele yako??

Haya tutaftane.....!

= haramu.

Zingine zote ni porojo za kijinga, umetemwa nini?
 
mwaka huu yaliyositiriwa yatawekwa wazi.Macho,masikio,midomo,pua,meno,mikono,miguu na mioyo yetu tuyaweke tayari kwa mengi yatakayoibuka!!
 
 stop lying....nothing u know, nothing u can tell us about el....

 u wrote long papparazzi uncontented story to falsify the hooligans tht u know what is at the heart of ccm at the moment...of which hujui chochote..


 el there is by no way, no how, no means ccm watamzuia, chuki zake binafsi na uongozi wa juu hazitamzuia, sbb ccm ni wanachama ndio wanachagua nec, sio viongozi wa juu tu...so jua hilo....na wanachama 80% wako nae heart to heart...!!

 and ur too myopic to see what is going in the field of ccm presidential aspirants....uko kiumbea umbea sana #yericko ....bending towards mkulu....after all ww ni cdm....kiherehere sana ww...from cdm and all few ccm anti-el you feared most laigwanan....muulize mwenyekiti wako mbowe, katibu wako slaa, sio ww hujulikani hata huna makazi, kazi kujinadi mitandaoni tu, mara una makampuni kibao yote hewa, kampuni za certificates tu.....nothing u hv to be trusted, from ur iq to wht u possess....!!!!


 nenda kwa josephine akupe chai this mrng....!!! Msalimie slaa pia, babu kapata vitoto, ur of the same iq level and acts....worthless you...!!!
jazba hazitakiwi humu shekhe!jenga hoja ueleweke.nilichoona hapa ni terminology nyingi ambazo hata hivyo amechanganya mambo sana bila mtiririko maalum.hukujiandaa?
 
Tentemeke!! EL inaelekea kichomi eehee!! Anyway, napita tu mie. Sijajawa na ukanda kiasi cha kusema mtu wa kanda fulani hawezi kuingia magogoni. Namtaka kiongozi yeyote alimradi ni muadilifu
 
Mshiiri yaliyotokea 2005, ilikuwa wrong move ya team wazee, walijiaminisha, kumbe team boyz II men walijishajiandaa kwa the so called "mtandao" Huyu tegemeo la sasa, alishindwa ku-counter shinning star ya JK ndani ya chama na nje. Aka-resolve kwa maelewano ya kuachiana.

Kajisahau wenzanko kuna miiko, wa pwani ni nyoka...
Sumu imetambaa kila kona ya mwili, anatafunwa live...


Lakin sasa Nyunyu time has been telling; amewasaliti wote Rostam, Edo, etc. Mchawi hana rafiki. Lazima sasa yamfike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom