kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,030
- 6,559
Naomba kujuzwa hawa wajumbe ni nani yupo kambi ya Mkuu wa kaya na ni nani yupo kwa Mkuu wa laizaboni(EL)
1. WASIRA
2.PINDI Chana
3.Tibaijuka
4. Jerry Slaa
5. Kimbisa
6. Nchimbi
7. Lukuvi
Zanzibar:
1. Nahodha
2. Hussein Mwinyi
3. Prof Makame Mbalawa
4. Dr Salm
5. Maua daftari
6. lL. Abuu
7. Samia
Mkuu kwani hii ndio CC ya CCM?....