Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,703
- 5,635
Tuna imani na Lowassa.
Hili ndio pigo la kwanza kwa CHADEMA na UKAWA kwa kuwasaliti wazalendo.
Haya ndio majimbo ya kwanza kwenda CCM.
NOTE MY WORDS !!
Levolosi mkuu vipi wewe?
mkuu kwako kijenge ni kijijini?umewah kusoma Geography?
Mie naishi sanawari ila hayo unayoyasema mie siamini naona labda unataka kuattract attention
Hili ndio pigo la kwanza kwa CHADEMA na UKAWA kwa kuwasaliti wazalendo.
Haya ndio majimbo ya kwanza kwenda CCM.
NOTE MY WORDS !!
..Itakuwa porini sana....siyo mujini tunayoijua ss !!Huijui Arusha...nimezaliwa Arusha
Hili ndio pigo la kwanza kwa CHADEMA na UKAWA kwa kuwasaliti wazalendo.
Haya ndio majimbo ya kwanza kwenda CCM.
NOTE MY WORDS !!
Huijui Arusha...nimezaliwa Arusha
Safari hii mtapasuka vifua kwa sababu ya CHADEMA/UKAWA.
Nitakua kichaa ndio! Kwa kuiona ccm ikichukua majimbo haya kiulaini kuliko ilivyotarajiwa!
Nitakua kichaa ndio! Kwa kuiona ccm ikichukua majimbo haya kiulaini kuliko ilivyotarajiwa!
Hili ndio pigo la kwanza kwa CHADEMA na UKAWA kwa kuwasaliti wazalendo.
Haya ndio majimbo ya kwanza kwenda CCM.
NOTE MY WORDS !!