The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Tatizo ni nini kwenye hiyo picha? au ni Interpretations za watu ndio zinaleta shida???
Anapunga upepo bana, sasa watu hawamsalimii vizuri wakidhani analo kovu baya, anawaonyesha mpeni heshima yake, msifieni kwamba mahali pa kubebea laptop pamekaa sawa, amma!Ni nani hasa mwenye kosa? Designer au Mvaaji? Au hakuna mwenye kosa?
Fashion hii ikiingia bongo mnaonaje?
Sh*t! Hii bombaaaa, apite kwetu Tandika kama hajaliwa laivu walahi!