Na hiyo ndio lugha ya wapi?Hiyo ndiyo Demokerati
Burudani unaweza kuielezea vipi? Sioni chochote hapo chenye kwenda sambamba na maana halisi ya burudani!
Jibu swali kwanza, Nini burudani? Na hiyo picha uliyobandika hapo ina burudani gani?Mkuu; hivi unashida gani bro? Sanaa maana yake ni nini? Niambie mambo ya FASHION utayaweka katika jukwaa gani kwa uelewa wako mkubwa uliotukuka?
Soma kwa makini vitu gani vinatakiwa katika jukwaa hili kabla hujajibu.
Jibu swali kwanza, Nini burudani? Na hiyo picha uliyobandika hapo ina burudani gani?
Kama hiyo ni burudani kwako basi ndio Pumba ya kwanza kuiona katika ukumbi wa wa Sports.Mkuu; itabidi tukurudishe darsani sasa maana inaonekana hutaki kuelewa. Angalia kwa makini post yangu nilivyokujibu na kuweka msisitizo in ble. Kisha rudi katika jukwaa soma ni vitu gani unaweza kupost.
I hope haturudi katika mambo ya PUMBA.
Kama hiyo ni burudani kwako basi ndio Pumba ya kwanza kuiona katika ukumbi wa wa Sports.
Nitaendelea kuhoji na kuhoji tena Picha hiyo ina burudani gani? Au ina sanaa gani au inawakilisha aina gani ya Michezo.
Mpaka pale utakapoweza kufafanua kuhusu ilo, ndio nitajua kama nimebandika pumba ama la! Zaidi naona ni wewe mwenye pumba mpaka kwenye vidole vyako.