Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Mwanaume kutoka USA alipigana vita vya Iraq na baada ya kurudi nyumbani, akamwoa binti ambaye walikuwa wanapendana . . . . Hakika ni mapenzi ya kweli . . . Angalia Picha hapa chini . . .
Nathubutu kusema anaweza kuwa ni mmoja kati ya wanawake Million Moja aliye na Moyo Mkuu na Upendo wa Kweli.
Maswali ya kujiuliza ni kuwa:
1. Mapenzi na Ndoa yao itadumu in a real sense ikiwa ya amani na furaha?
2. Je, kuna yeyote mwenye ushuhuda wa namna yoyote ya extreme cases katika mapenzi au ndoa.
3. Hivi hii kitu ingekuwa ni Dada Zetu wa Bongo, ingewezekana pia? (Wadada ni swali tu jamani . . .)
Nathubutu kusema anaweza kuwa ni mmoja kati ya wanawake Million Moja aliye na Moyo Mkuu na Upendo wa Kweli.
Maswali ya kujiuliza ni kuwa:
1. Mapenzi na Ndoa yao itadumu in a real sense ikiwa ya amani na furaha?
2. Je, kuna yeyote mwenye ushuhuda wa namna yoyote ya extreme cases katika mapenzi au ndoa.
3. Hivi hii kitu ingekuwa ni Dada Zetu wa Bongo, ingewezekana pia? (Wadada ni swali tu jamani . . .)