Tulipokosea sana ni pale tulipoipa siasa hadhi na heshima kubwa isiyostahili na kuipa taaluma kisogo...!!!!
Je nini kifanyike ili kuhakikisha kwamba mfumo wa kisiasa unakuwa sawa, tofauti na sasa?Tulipokosea sana ni pale tulipoipa siasa hadhi na heshima kubwa isiyostahili na kuipa taaluma kisogo...!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila moja ya Madhara ya Hii sera ya Elimu bure ni Kupungua kwa ubora wa elimu, Je nini maoni yako ili kuboresha elimu inayotolewa kwa sasa, ukizingatia kijana anayemaliza kidato cha nne anakuwa bado hana uwezo wa kukabili mazingira na maisha yake kutokana na elimu aliyopata?Elimu bure iende sambamba na uniform bure.
Kuboresha elimu ianze na kuboresha maslahi ya walimu na elimu ya walimu wenyewe.Ila moja ya Madhara ya Hii sera ya Elimu bure ni Kupungua kwa ubora wa elimu, Je nini maoni yako ili kuboresha elimu inayotolewa kwa sasa, ukizingatia kijana anayemaliza kidato cha nne anakuwa bado hana uwezo wa kukabili mazingira na maisha yake kutokana na elimu aliyopata?
Futa hii kauli, Na omba radhi tafadhari.Kama mwalimu hana akili na ujuzi wa kutosha hawezi kutoa product nzuri ya wanafunzi.
Hapa naungana naweKuboresha elimu ianze na kuboresha maslahi ya walimu na elimu ya walimu wenyewe.
SanaTulipokosea sana ni pale tulipoipa siasa hadhi na heshima kubwa isiyostahili na kuipa taaluma kisogo...!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani miaka ya 90 waliopata division 4 ndo walienda ualimu. Yaani mtoto akikosa shule utasikia jaribu kumpeleka ualimu...Futa hii kauli.
- Mimi binafsi ni Mwalimu kitaaluma na sehemu ya CV yangu ni hii:
- 2yrs MOTCO
- 3yrs MUCE
Unaposema kama mwalimu hana akili na ujuzi wa kutosha.....unamaanisha nini? Ina maana na wewe uko kwenye kundi la watu wasio na akili, wala ujuzi wowote ule bila shaka!!Kuboresha elimu ianze na kuboresha maslahi ya walimu na elimu ya walimu wenyewe.
Kama mwalimu hana akili na ujuzi wa kutosha hawezi kutoa product nzuri ya wanafunzi.
Thats y sijawa mwalimu maana sina akili wala ujuzi wa kuwa nwalimu.Unaposema kama mwalimu hana akili na ujuzi wa kutosha.....unamaanisha nini? Ina maana na wewe uko kwenye kundi la watu wasio na akili, wala ujuzi wowote ule bila shaka!!
Taiizo nini, naona picha mbili tofauti?
Zamani miaka ya 90 waliopata division 4 ndo walienda ualimu.
Acha dhana potofu na kuiongopea Jamii.Zamani miaka ya 90 waliopata division 4 ndo walienda ualimu. Yaani mtoto akikosa shule utasikia jaribu kumpeleka ualimu...
Lakini kumbuka ni walimu hao hao ndiyo waliokufikisha hapo ulipo. Mfano kwa kitendo tu cha kujua kusoma na kuandika, nk ni matunda ya walimu.Thats y sijawa mwalimu maana sina akili wala ujuzi wa kuwa nwalimu.
Sijazungumzia walimu wote.Lakini kumbuka ni walimu hao hao ndiyo waliokufikisha hapo ulipo. Mfano kwa kitendo tu cha kujua kusoma na kuandika, nk ni matunda ya walimu.
Hivyo ukubali kuwapa heshima yao, hata kama una mafanikio zaidi kimaisha kuliko wao! Na pia ukumbuke walimu wako wa kwanza kabisa ni wazazi wako. Hivyo hatuna budi kuwaheshimu walimu wetu, hata kama wana madhaifu kiasi gani.
Sawa, hongera.Acha dhana potofu na kuiongopea Jamii.
=
View attachment 2784226
=
View attachment 2784227
Matokeo yangu: "Miaka hiyo ya 90" kama ulivyosema