OsamaBinLaden
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 706
- 3
mkuu siyo kilakitu lazima uingize dini. Kwanza wakati yote hapo juu yana tokea uislamu haukuwepo. Pili ni kwamba siyo wote humu waislamu sasa ukitumia uislamu kueleza kila jambo humu jf hauta eleweka. Kuna jukwaa la dini mkuu.
soma tena pale juuu inaelekea huna dini mana yale nilioweka sio ya uislam pekee yake auu ndiiio hizo chuki za uislam zimeshawafunika......?umarekani huo umewajaa cnn bbc ...lol
labda niwakumbushe historia ya jambo hili la huyo farao inapatikana tu kwenye vitabu vya dini sawa wakina baba na mama kwa huoja kwa haliafikiani na dini mnachemsha.