Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Sitashangaa kusikia kesho BWM anasema wameni-edit hiyo picha kwa sababu hapa mahala mi sikuwepo siku hiyo
Mkuu usipoteze muda wako huyo yupo kundi la wafu, hebu angalia hapo chini sio maiti zote kwamba zipo kaburini!!Sidhani kama unajua hata kinachojadiliwa.
Wewe ulitaka waandike nini.Kuna maswala ya msingi ya kuandika. Hilo gazeti nalo wamekosa la kuandika.
kazi kweli kweli tunasemaga sie vikongwe
hili gazeti linakuja vizuri.
aibu yake mwenyewe kipara sio busara
Acha siasa za kijinga ,Mkapa alisema Vicent Nyerere siyo mtoto wa Mwl.Nyerere.Ishu iliyopo hapo ni kumkosoa MKAPA? kuwa ndugu siyo TATIZO,je ni kweli V.Nyerere ni mtoto wa JK Nyerere?.......Acheni uchochezi usio na maana.Arumeru wanataka maendeleo lakini si undugu na NYEREREView attachment 50319
Kama hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.
Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.
Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.
Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki, parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere.
Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose the unexposed!
Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012
Huo msiba mwaka gani? Ungekuwa wewe ungemkumbuka mtu huyo uliyemuona miaka 15 iliyopita?
Kuweni nalo makini kwani lipo kwa ajili ya kumpamba zaidi Lowassa maana yeye ndio mmiliki wake halisihili gazeti linakuja vizuri.