Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,331
33,141
VIONGOZI WA SERIKALI YA AWAMU YA KWANZA MPAKA AWAMU YA NNE

WhatsApp Image 2021-11-26 at 16.47.00.jpeg
 
Mchonga ni nabii kweli kweli..maneno yake yamekuwa yametimia kwenye awamu zinazo gawanyika kwa mbili,tukawaona hao wapumbavu kwa macho.
 
Maneno ya kikwete yana make sense sana.

Kwa sababu hao viongozi wote hapo wanasema mdomoni tu ila kivitendo lazima kuna misaada walipata tu.
Kikwete amesema maneno ya utumbo hapo. Mwalim nyerere amesema point anayefuatia Mzee Mwinyi kisha Mzee Mkapa.
 
Mbona ya jiwe hujaweka?
mfu ni mikosi kwa nchi.......mahela yooote hayo!! Madaktari nguri....popote Duniani unawapata....dawa yeyote hata ikiwa mwisho wa Dunia huko ...unaipata dakika sifuri tu ..tens bureeee!! lkn bado unakufa...uzembe sana huo....msi-msingizie Mungu eti ni mipango ya Mungu.
Jiwe Alitamani na kufurahia tyuuuu!! kutumbua watu tu!!...na kupiga cha juu! Aliona raha sana.....mpaka Akasahau kuangalia na kujali afya yake ambayo ni muhimu sana kuliko kazi!! Yaani kizembe sana akavuta faster!!....sasa kwa nini tuwe na kumbukumbu ya mtu mzembe ivo??? Tunafundisha nini watoto wetu? ....uzembe au ubwege bin ulimbukeni na urafi wa pesa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom