Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
hao ni makamanda wa chadema enzi hizo za ukandamizwaji wa kibeberu.
ukitaka kuiona sasa ngalia maandamano ya arusha.
ukitaka kuiona sasa ngalia maandamano ya arusha.
Kwa fikra zako za kichovu lazima uone ni picha ya kawaida.
Paul Kijoka, huu ni "uchochezi"!.Sana tu mkuu. Tunahitaji wapiganaji kama hawa wa kuondoa wakoloni weusi na mafisadi zaidi ya kupe.
Paul Kijoka, huu ni "uchochezi"!.
I loooove him, I mean Che! Great historian!
Makamanda hao cjui ni nani atakae warithi!
huwezi jua kama huwajui watu hawa labda ungeoneshwa unaowajua ungeona muhimu wao wana mapinduzi halisi si chama cha mapinduzi wa uongo saluute che r.i.p