Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Che na castro kama sijakosea
ndio maanake...
Che na castro kama sijakosea
Mbona ni picha ya kawaida tu ya watu waliovaa makombati ya jeshi tu wakiandamana
Sana tu mkuu. Tunahitaji wapiganaji kama hawa wa kuondoa wakoloni weusi na mafisadi zaidi ya kupe.
Nilivyoiona hiyo picha mwili wote umesisimka.
Natamani leo hii Castro angerudi katika hali yake aliyokuwa nayo katika hiyo picha.
Ama kweli usichokijua.........
Haraka haraka utadhani ni makamanda wa Chadema
Ama kweli usichokijua.........