Kweli malaria sugu ana malaria ya kichwani.
Huu udini utaisha lini. Kila hoja inapewa sura ya udini.
Tuwe na namna ya kublock watu wenye sumu kama Malaria sugu.
Mimi ni mlipa kodi mzuri ninataka kujua kodi yangu inatumikaje halafu malaria inakupanda kichwani na kudai UDINI!!!!!
Waachie watu wachambue mada bila mtizamo hasi wa kuhasi mijadala.
Huu udini utaisha lini. Kila hoja inapewa sura ya udini.
Tuwe na namna ya kublock watu wenye sumu kama Malaria sugu.
Mimi ni mlipa kodi mzuri ninataka kujua kodi yangu inatumikaje halafu malaria inakupanda kichwani na kudai UDINI!!!!!
Waachie watu wachambue mada bila mtizamo hasi wa kuhasi mijadala.