makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Watwana na watumwa wakiungana huwa ni balaa tupu..........
Hivi hiyo BENDERA hapo nyuma ya maandamano ni ya NCHI GANI???Wapeni nchi yao waishie huko!
Kwani wakijitenga Zanzibar sisi TANZANIA BARA(Tanganyika) tunapoteza nini??? Kwanza mimi naona ikishatokea Muungano kuvunjika basi sisi nasi TUTARUDISHIWA TANGANYIKA YETU ambayo ilifutwa kwenye ramani ya Dunia tangu 1964.
Let them Go. They will be the loosers not Tanganyika bana.