Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,661
- 2,124
Hawa wanacheza wanafikiri kuchoma nyumba ya Mungu ni jambo la kawaida ,ngoja Mungu atakapoinuka na kujitetea mwenyewe, wakawaulize wenzao wa Banda aceh kilichowatokea ndio utajua Mungu hadhihakiwi. Fanyeni kila kitu ila sio kumdhihaki Mungu aliye juu mbinguni.