Ponera
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 556
- 87
sijawahi kuiona lakini huwa nashangaa kwanini huwa mnaandamana kakichorwa kale kakatuni ka kiarabu? Sijawahi kuona kikatuni cha muhamadi mweusi kama mndengereko! Ushaona weye?
mtume atabaki kuwa mtume tu, hakuna mtu kuigiza eti yeye ni mtume alafu majuha yananunua picha yanasema ndo masia woa wakati mzungu mjanja kakaa na kutengeneza picha ili aingize siku, waislam hatutakaa kimya pale mtume wetu anapozalilishwa, nyie nendeni kwa mmakonde achonge kinyago alafu mkiabudu,