Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Mkuu tofautisha kati ya maandamano na miktano ya kawaida!
Jamani, wakati mwingine muwe na ubinadamu, au basi mumuogope hata Mungu.
Hafu nyie ndo mnaojifanya mnashinda kwenye nyumba za ibada na kutoa sadaka kubwa.
Hivi chadema waliandamana?
Hata huo uzinduzi wenu Nina mashaka Kama hamkuandamana.
But what goes around comes around, time will come.