hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Kwanza ana magumashi mengi tu hapo ikulu
Nilijua lazima aweKwa
Kwani trump ameshachaguliwa kuwa rais wa marekani???
Lazima atajwe obama na Trump maana hakukuwa na namna, msioona mbali mahaba yaliwapeleka kwa hilaryDuh! Unaanzisha uzi kwa kumtaja Obama, unamalizia kwa kumtaja Trump! Hivyo ndivyo tulivyo Watanzania...kiwango cha uelewa wetu ndiko ulikofikia. Imefikia pahala Nyerere analinganishwa na Magufuli...so so sad!
Una maono ya mbaliHuyo lazima apite maana hilaly anapatwa na jua
Mzee wa Joni mtembezi
Thumb up!Mzee wa Joni mtembezi
ha ha ha ha uko ndotoniZa rais wa tz ikulu!
Nini push ups?Ningependa nije nione na za kwetu awamu hii. Lol
KumbeSisi huku utani ni kuambiwa fyatueni watoto, halafu mpaka waziri wa afya atengue
Hebu tupia za Mkapa na Kikwete Mkuu, tuone vimbwanga vyao wakiwa peke yao Ikulu.Ninazo ntazitupia baadae
Made In Tanzania.Hapa hata mkibisha Hillary Clinton ndio rais wa Marekani hilo sio la kupinga na mwaka Kesho inaonesha Donald Trump atakufa
Ni comment hapa nitapigwa ban ngoja nitokeZa rais wa tz ikulu!