Picha na ramani: Eneo la bahari Wakenya waiomba Serikali yao kuigeukia Tanzania

Mara nyingi tukiongea kuhusu shitholes huwa hatuijadili South Africa, japo huwa mnapenda kuwashobokea mkiwaita ndugu lakini wao wako nje ya hizi mada.
South Africa ni majirani zetu usafiri ni kwa bus tu pia mtanzania anaingia south na TZ id tu
 
Kenya imepigwaje mahakamani wakati hata kesi yenyewe haijaanza? Mataga buana! Jipangeni upya ili muweze kumtafuta mungu mtu wenu bila kuwasumbua sumbua wakenya. Yeye mwenyewe ndiye aliyejifanya kiboko cha COVID, wakenya hatukuhusika kwenye vioja vyake hivyo. Tumeelewana kufikia hapo?
Rais wa EA yuko salama salmini,halafu hata hakutamka neno naskia mahindi yameruhusiwa tena.
 
nawewe unakubari hii ramani ina ukweli wowote!!!!

tukiitisha source mnajamba jamba tu.
Here is another one when you take the whole world into consideration. The source is Google itself.

1.jpg
 
Hehehe!! Naona mumefanyia kazi ushauri wangu, endeleeni kuibua kila aina ya chokochoko Watz watajisahau na kuacha kuhoji aliko mkulu.
Sema kwa ubunifu nawaona zero, ombeni msaada tuwape utundu wa kulianzisha uone Watanzania wote wataongelea kuhusu Kenya kwa wiki mbili zijazo na hakuna atakumbuka tetesi za hao wa kwenye mitandao.
We bwege sana, huna hata historia ya kukomboa nchi hapa Africa, jaribu uone mbulukenge wewe
 
Baada ya serkali ya Kenya kupigwa mahakamani na Somalia kwenye mgogoro wa eneo la bahari kuu mjadala sasa ni kuishauri serikali ya uhuru kuligombania eneo la mpaka wake na Tanzania.

Mijadala mikubwa tangu jana kwenye media za kenya ni juu ya taifa hilo kuwa limebanwa kijiografia katika eneo la pwani ambalo linautajili mkubwa wa mafuta, Wakenya wanailamu serikali yao kuwa legevu na kuliachia eneo hilo na lile la kisiwa cha migingo katika ziwa Victoria walichogombania na Uganda.

Wanasema eneo lao na eneo kubwa kiasi cha kushangaza huku wao wakiwa hawana eneo zaidi ya kiushoroba tu ,ambapo hivi majuzi kenya iliijiondoa katika mahakama ya ICJ katika kesi ya mzozo wake na Somalia baada ya kukosa hoja ,mzozo huu uliodumu kwa miaka mingi na kusababisha ugomvi wa kidiplomasia na kuziunganisha jamii za kisomali kupigania ardhi yao.

Pitia mjadiliano na ramani ambapo.

View attachment 1725039
Mungu apishe mbali vita yoyote dhidi ya Tanzania kwa sasa kwani Watanzania si wamoja kabisaaa - kuna wengine wanaweza kuuza picha kwa adui (touch wood!) na siwezi kuwalaumu kutokana na kuhasimiana kwa level ya kishetani ambako kumetokana na uwepo wa leadership vacuum for the past 6 years!
 
Nasikia jamaa wameweka mpira kwapani, baada ya kuona wanapewa za uso bila huruma.
 
Mungu apishe mbali vita yoyote dhidi ya Tanzania kwa sasa kwani Watanzania si wamoja kabisaaa - kuna wengine wanaweza kuuza picha kwa adui (touch wood!) na siwezi kuwalaumu kutokana na kuhasimiana kwa level ya kishetani ambako kumetokana na uwepo wa leadership vacuum for the past 6 years!

Hizo ni hisia zako tu. Wewe jaribu kufanya jambo linalohatarisha utulivu wa nchi, ndiyo utajua wanaume wako kazini.
 
waje tu tuchukue na mombasa kabisa,maana ni wapemba kabisa wale.
Achilia mbali kuwa wale ni wapemba, ile Mombasa inatakiwa iwe mali ya Zanzibar by now maanake ni kipande cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muda wa Kenya kuikalia Mombasa umeisha sasa wanatikiwa wairudishe kwa wamiliki halali
 
Hizo ni hisia zako tu. Wewe jaribu kufanya jambo linalohatarisha utulivu wa nchi, ndiyo utajua wanaume wako kazini.
Wanaoharibu utulivu wa nchi ni wale wanaofanya lop sided decisions - kuwakamata wanaoeneza "taarifa za uzushi" kuwa mtu "A" anaugua huku wakiwaacha wale ambao pia wanaeneza "taarifa za uzushi" kuwa watu "B" & "C" wamekufa!

Hao ndiyo haswaa wanaoharibu upendo. Hao ndiyo wanaosababisha Watanzania kuhasimiana vibaya. Hao ndiyo wanaoharibu utulivu ambao tumekuwa tukijivunia kwa miaka nenda rudi.

Nawakemea hawa kwa mamlaka aliyonipa MUNGU - waache na wakome kabisa!
 
Kila nchi hufuatilia iliyo mbele yake kiuchumi....

1i2ieygfoxf51.png
These are nonsense, I know the Twitter account that came up with this nonsense, aliulizwa aprovide evidence ya hivo vipimo, nada, sasa hivi #magufuli is trending in Kenya, #whatwouldmagufuli do was trending in Kenya, many Tz songs have been trending in Kenya afu eti Tz tuna fuatilia ya Kenya, ww endelea kujidanganya kama kawaida yako, ila tunajua nani anayefuatilia ya Tz sasa hivi.
 
Yani naona hadi Uganda na Rwanda zinafuatiliwa ila Tanzania hakuna nchi inayoifuatilia alafu wao ndio kila siku wanapiga kelele humu eti wanafuatiliwa.
Who is trending in Kenya Twitter right now, it's Tz, sasa nani anaemfuatilia mwenzake hapo, kitu iko wazi, ingia trending, u'll see, mko na umama, afu mnabisha
 
Hawa majirani bana, yaani hata masuala ya kimataifa hawana hamu nayo. Wao wanaiwaza na kuifatilia tu Kenya, jamani hata kama ni 'lavu' hii nayo imezidi.
Nenda Twitter, ingia trending, Utaona nani anaefuatiliwa zaidi, #whatwouldmagufulido, was trending in Kenya, nenda kwa songs, utakuta Tz song is trending there, nenda kwa Millard ayo, Kenyans commenting there, njoo JF, Kenyans are there, afu eti Tz wanawafuatilia, mko na ufara sana nyie
 
Who is trending in Kenya Twitter right now, it's Tz, sasa nani anaemfuatilia mwenzake hapo, kitu iko wazi, ingia trending, u'll see, mko na umama, afu mnabisha
You people get excited when Kenyans say anything about Tanzania so much that you think you are trending in Kenya when you are not. Here is what is trending in Kenya twitter right now.
1.PNG


Meanwhile they've blocked trending data in Tanzania but I'm sure you're all shouting about Kenya. 🤣 🤣

1.PNG
 
Nenda Twitter, ingia trending, Utaona nani anaefuatiliwa zaidi, #whatwouldmagufulido, was trending in Kenya, nenda kwa songs, utakuta Tz song is trending there, nenda kwa Millard ayo, Kenyans commenting there, njoo JF, Kenyans are there, afu eti Tz wanawafuatilia, mko na ufara sana nyie
Sasa wakenya wanamjua kiongozi wenu yupi, zaidi ya dikteta wenu na vibwanga vyake vya kila mara? Hata makamu wa rais tu wakenya hawamjui kwa jina. Nyie hapo mnafatilia kwa makini siasa na wanasiasa wa Kenya, wa serikali na upinzani, bila kubagua. Nilishangaa kuona kwamba mnawajua vizuri kina Ruto, Sonko hadi na wanasiasa kienyeji kama Murkomen. Hadi eti na BBI pia mnaifahamu, hata zaidi ya wakenya. Jombaa hapo ulipo najua unatizama stesheni za Tv za Kenya, mitandaoni ukiingia unasoma habari kutoka kwa gazeti za Kenya. Hapa Jf tu siku haiwezi ikaisha kama hujafika humu kwenye jukwaa hili la habari na siasa za Kenya. Usijaribu kunidanganya kwamba huwa unafatilia ule upuuzi ambao huwa mnaita uanahabari nchini Tz.
 
Mungu apishe mbali vita yoyote dhidi ya Tanzania kwa sasa kwani Watanzania si wamoja kabisaaa - kuna wengine wanaweza kuuza picha kwa adui (touch wood!) na siwezi kuwalaumu kutokana na kuhasimiana kwa level ya kishetani ambako kumetokana na uwepo wa leadership vacuum for the past 6 years!
Tuliumaliza ugaidi pale kibiti huku baadhi yenu mkiwashangilia hao magaidi

Sijui kama unakumbuka.
 
Back
Top Bottom