Picha na ramani: Eneo la bahari Wakenya waiomba Serikali yao kuigeukia Tanzania

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,667
Baada ya serkali ya Kenya kupigwa mahakamani na Somalia kwenye mgogoro wa eneo la bahari kuu mjadala sasa ni kuishauri serikali ya uhuru kuligombania eneo la mpaka wake na Tanzania.

Mijadala mikubwa tangu jana kwenye media za kenya ni juu ya taifa hilo kuwa limebanwa kijiografia katika eneo la pwani ambalo linautajili mkubwa wa mafuta, Wakenya wanailamu serikali yao kuwa legevu na kuliachia eneo hilo na lile la kisiwa cha migingo katika ziwa Victoria walichogombania na Uganda.

Wanasema eneo lao na eneo kubwa kiasi cha kushangaza huku wao wakiwa hawana eneo zaidi ya kiushoroba tu ,ambapo hivi majuzi kenya iliijiondoa katika mahakama ya ICJ katika kesi ya mzozo wake na Somalia baada ya kukosa hoja ,mzozo huu uliodumu kwa miaka mingi na kusababisha ugomvi wa kidiplomasia na kuziunganisha jamii za kisomali kupigania ardhi yao.

Pitia mjadiliano na ramani ambapo.

FB_IMG_1615707228115.jpg
 
Wakenya wako kama mbwa mwitu..huwa wanashambulia bila malengo.

Ila sifa yao kuu ni umoja wao bila kujali itikadi zao kisiasa inapokuja suala la kutetea taifa lao na maslahi yake.
 
Hehehe!! Naona mumefanyia kazi ushauri wangu, endeleeni kuibua kila aina ya chokochoko Watz watajisahau na kuacha kuhoji aliko mkulu.
Sema kwa ubunifu nawaona zero, ombeni msaada tuwape utundu wa kulianzisha uone Watanzania wote wataongelea kuhusu Kenya kwa wiki mbili zijazo na hakuna atakumbuka tetesi za hao wa kwenye mitandao.
 
Hehehe!! Naona mumefanyia kazi ushauri wangu, endeleeni kuibua kila aina ya chokochoko Watz watajisahau na kuacha kuhoji aliko mkulu.
Sema kwa ubunifu nawaona zero, ombeni msaada tuwape utundu wa kulianzisha uone Watanzania wote wataongelea kuhusu Kenya kwa wiki mbili zijazo na hakuna atakumbuka tetesi za hao wa kwenye mitandao.
Hatunaga muda mchafu wa kufuatilia mambo ya nchi za watu kama nyinyi huko Twitter mnavofuatilia Tz. Mko kama mmewehuka.
 
Kwenye Hiyo Ramani Ulivyo Kilaza S.Africa anamfuatilia nani Aliye mbele yake kiuchumi!!
Mnapenda mijisifa yakijinga

Mara nyingi tukiongea kuhusu shitholes huwa hatuijadili South Africa, japo huwa mnapenda kuwashobokea mkiwaita ndugu lakini wao wako nje ya hizi mada.
 
Hehehe!! Naona mumefanyia kazi ushauri wangu, endeleeni kuibua kila aina ya chokochoko Watz watajisahau na kuacha kuhoji aliko mkulu.
Sema kwa ubunifu nawaona zero, ombeni msaada tuwape utundu wa kulianzisha uone Watanzania wote wataongelea kuhusu Kenya kwa wiki mbili zijazo na hakuna atakumbuka tetesi za hao wa kwenye mitandao.
Lkn usitutoe kwenye mada na wewe, bado tunarudi pale pale, ni kweli mmepigwa chini kwenye hiyo kesi? Acha kutuzuga na wewe
 
Kenya imepigwaje mahakamani wakati hata kesi yenyewe haijaanza? Mataga buana! Jipangeni upya ili muweze kumtafuta mungu mtu wenu bila kuwasumbua sumbua wakenya. Yeye mwenyewe ndiye aliyejifanya kiboko cha COVID, wakenya hatukuhusika kwenye vioja vyake hivyo. Tumeelewana kufikia hapo?
 
Yani naona hadi Uganda na Rwanda zinafuatiliwa ila Tanzania hakuna nchi inayoifuatilia alafu wao ndio kila siku wanapiga kelele humu eti wanafuatiliwa.
nawewe unakubari hii ramani ina ukweli wowote!!!!

tukiitisha source mnajamba jamba tu.
 
Back
Top Bottom