Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
- Thread starter
- #41
Usijekuta ni PAW ukala Ban!lolJamani huyu mkuu hapa chini mbona namfananisha sana na Mkuu Rejao?????????????????
wameanza mwisho mtasema regia karudi embu tusome tuishie hapo jamani
Duh! Kumbe wana JF ndio walivyo?
kuanzia leo nikikutana na post yoyote ya lizzy na i LIKE
Lizzy? More pics please...
Dah! Ningekuwepo hapo hao wana magandwa wangeniacha?Kwi kwi kwi, mkuu naona ushatia timu. Kama nimekuona vile kwenye picha vikaoni hapo juu.
Hebu FF naomba unisaidie kwenye hili!Jamani huyu mkuu hapa chini mbona namfananisha sana na Mkuu Rejao?????????????????
Lol!Huwezi kutokea kwasababu wewe ni mwana JF uliyejiunga kupingana na wana JF flani flani, so ungeenda pale kila mtu angekufahamu tu lol!Dah! Ningekuwepo hapo hao wana magandwa wangeniacha?
But all in all ilikuwa nihudhurie, sema mambo yakabana. Next meeting nitajitahidi nihudhurie.
kuanzia leo nikikutana na post yoyote ya lizzy na i like
Lizzy? More pics please...
lizzy nilikuwepo dada yangu sema majukumu ya wifiyo ndio yaliniharakisha kuondoka mapema..niko nyuma ya mwanyika-hon...teehetteehh..nilikuona live kwenye mambo yetu nikafurahii sana maana nilikuwa najua utakuja nikasema atakaekaa karibu namimi binti yoyote ntadondosha coins akiivalia njuga wala siulizi najua
dadayangu ...nilipokuona kulee duhh nkasema basi tena!!
kuanzia leo nikikutana na post yoyote ya lizzy na i LIKE
Duh! Kumbe wana JF ndio walivyo?
kweli kwa michango ya watu hap jf ndio kioo cha watanzania tulivyo .
Kuna wengine wao wamejikita kuchambua physical appearence za watu . Sishangai kumbe ndio maana hata kwenye siasa tunachagua so called handsome tukdhani watakuwa na mawazo na maamuzi ya kujenga nchi yanayofanana na muonekano wao unafurahisha.