environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Uso wake tu unaona amekaa kinjaa njaa tu,kinafiki nafiki tu.Tupo kwenye kumbi za film,hakuna movie yeyote hadi leo.Tunasubiri movie tengeneza hata haraka haraka wewe Gamba.
huyu jamaa ni kiboko ya slaa.
Nikiona haya manguo ya kijani napatwa na hasira kali sana
Naona "kajipamba" kama jeneza.......laces siku hizi hutumika sana kwenye majeneza
Mkuu KIBANGA ampiga mkoloni,huyu Naibu Katibu Mkuu wangu amebadilika sana.Hizi ndevu zisizo na maana lazima zitakuwa zinaathiri utendaji wake tu. Zimekaa kivivu,kikatili na kutojali.
kweli nchemba ni kiboko ya chadema. akikohoa tu watu nyang'anyang'a
muogope MUNGU. tofauti za kisiasa zisitufikishe huku. tumia ubongo kufikiri. sijapenda comments zako za kijiweni. jenga hoja. behave like a great thinker. matusi hapa mwiko
Unamaanisha Juliana Shonza?