Mabulangati
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 796
- 164
Kweli mleta mada na wanaokushabikia hamjui siasa. Sijawahi kuwaza kuwa siasa zetu tz zitatupelekea kuchukiana eti wewe uko chama fulani mimi kingine hivyo ni maadui kwa kila kitu. Sidhani wasanii kuingia ccm chama kingine wameanza hao au leo! Labda mleta mada na wenzie watuambie kuwa kuingia ccm ndiyo tatizo otherwise atupe sababu nyingine za binafsi kama mwingine alivyosema wamemuangusha yeye kama yeye.
Ni majuzi tu kwenye operation ya m4c pamoja daima tulimuona afande sele akitambulishwa jukwaani lakini sikuona mjadala wowote juu yake, Mh. Mbilinyi alijiunga chadema ili awe mbunge na amepata ubunge ambapo kama angeukosa sugu kwa sasa sijui angekua wapi sioni mjadala.
Ninachotaka kuamini ni kwamba siasa na vyama vyake zinapita ila utaalamu haupiti ndiyo kula ya mtu. Tuache siasa chafu ambazo zilishajaribu kuipeleka zanzibar pabaya kama si jitihada za mabaraza ya redet, prof. Othman na maalim seif tungekukua tunaongea mengine.
Tuache wivu, kijicho na choyo mbaya katika siasa
Ni majuzi tu kwenye operation ya m4c pamoja daima tulimuona afande sele akitambulishwa jukwaani lakini sikuona mjadala wowote juu yake, Mh. Mbilinyi alijiunga chadema ili awe mbunge na amepata ubunge ambapo kama angeukosa sugu kwa sasa sijui angekua wapi sioni mjadala.
Ninachotaka kuamini ni kwamba siasa na vyama vyake zinapita ila utaalamu haupiti ndiyo kula ya mtu. Tuache siasa chafu ambazo zilishajaribu kuipeleka zanzibar pabaya kama si jitihada za mabaraza ya redet, prof. Othman na maalim seif tungekukua tunaongea mengine.
Tuache wivu, kijicho na choyo mbaya katika siasa