nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Mifereji ipitishayo maji yatiririkayo ni midogo na mingi imeziba hivyo maji yanakatiza katikati ya barabara na kuharibu miundo mbinu. |
Mifereji ipitishayo maji yatiririkayo ni midogo na mingi imeziba hivyo maji yanakatiza katikati ya barabara na kuharibu miundo mbinu. |
Mwanangu Nguu007
Onyesha na upande wa pili maana hakuna hadithi yenye upande mmoja. Mwanza haiwezi kuwa chepechepe yote. Una hoja lakini approach yako itaiharibu hoja yako. You are but biased na hii ni mbaya katika kuleta habari. Leta picha zaidi ya upande wa pili tutakuchangia ufurahi. Bila kufanya hivyo tutakuudhi kwani unatuudhi pia.
Mwanangu Nguu007
Onyesha na upande wa pili maana hakuna hadithi yenye upande mmoja. Mwanza haiwezi kuwa chepechepe yote. Una hoja lakini approach yako itaiharibu hoja yako. You are but biased na hii ni mbaya katika kuleta habari. Leta picha zaidi ya upande wa pili tutakuchangia ufurahi. Bila kufanya hivyo tutakuudhi kwani unatuudhi pia.
Vipi niko BIAS?
Hiyo ni barabara moja tu, tupe nyingine tuone hali halisi ilivyo badala ya kutoa conclusion kwa picha za barabara moja.
Its true, your observation is very right mkuu. There are such good places in Mwanza, mleta mada ilibidi aonyeshe pande zote mbili. Maeneo ya city centre, capripoint hata Isamillo pako classic sana, show the world both sides of the city.Father of All
Your info is biased and you are bias. Nadhani wengine wameishachangia kuhusiana na hili mwanangu Nguu007
Nguu007
The issue hither is not live or otherwise picture but lack of the other side of the coin. If your aim is to show evil side of Mza, it will make more sense to show the good side so that readers can decide by themselves. Methinks this will make you a bit egdier than gullible.
Mkuu kweli kabisa nashindwa kuona tatizo lipo wapi..., angalia heading inaelezea hali halisi ya barabara za ndani Kilimahewa Mwanza..., (ambapo nimesikia hili ni tatizo kubwa hadi magari yaligoma kwenda..)Nguu007, if all media would work following your modus operandi, no news would be disseminated. Again, you need to be changed bofore you change others if at all this is the very way you analyze things. I am afraid, forcing me to understand you where you are not does not do you good.