Leo mbunge wa ubungo john mnyika ameendelea kutekeleza ahadi yake kwa kuwakabidhi cherehani sita na mshine ya kudarizi mbili. Vikundi ni cha Kimara Matete na milenia ya tatu. Vifaa hivyo vina thamani ya milioni 15. Pia mbunge alipata nafasi ya kuzungumza na wapiga Kura wa jimbo la Ubungo kijiweni kimara mwisho