Picha matukio: Ziara ya BAVICHA Mkoani Mpanda iliyomliza (PM) Pinda

Yaani badala ya Pinda kuhangaika na maji anahangaika kuwatafutia maisha bora AGRISOL!!! Aibu!

Mkuu nchi imeshauzwa siku nyingi sana hao AGRISOL wanalipa kodi ya tsh 1000 kwa hecta 1 kwa mwaka.. unategemea nini na wanahati ya 99 years..... tanzania ukiifikiria sana unaweza ingia msituni..... Mihimili yoote mitatu ni wizi mtupu.. wao furaha yao nikuona wananchi tunakufa.. na kuzidi kuwa maskini....Mabadiliko yatakuja lakini tutafika tumepoteza wengisana na kuchakaa haswa... wezi wa rasilimali zetu.. ni haohao waliopo madarakani.......... uzalendo unaniisha kila siku.. kila nikiangalia madudu yanayofanywa na watawala wetu kila siku na hakuna anayechukua hatua.. mahakama nao ni njaa na wezi tu wamejaaaa... DUNIANI HAKUNA HAKI ..HAKI IPO KWA MUNGU TU.
 
attachment.php

kazi ipo kwa magamba, ukiona mgonjwa aliyekuwa mahututi anaanza kuongea ujue amekaribia kukata roho
 

Mleta mada,kichwa cha habari yako kingekuwa: "Picha na matukio: Ziara ya BAVICHA mkoani KATAVI iliyomliza PM Pinda".


Mpanda siyo mkoa ila ni MAKAO MAKUU ya Mkoa wa Katavi!
 
molemo.
makamu mwenyekiti bavicha yuko mbozi anafanya ziara katika kata za itaka,msia na pia lazima utambue kwamba juliana shonza halipwi. yeye anafanya kazi ya kujitolea hana payslip hapo makao makuu kama wewe unavyolipwa wakati huna msaada wowote ndani chama na ikumbukwe kwamba wewe ulipewa ukurugenzi hapo makao makuu na mbowe kwa kuwa wewe ni mkaskazini wa vunjo na uko hapo makao kwa kulinda maslahi ya mbowe na ikumbukwe kwamba mwaka jana chama kilikuoea hadi mke.
john heche analipwa na chama mshahara na pia analipwa mshahara na ikumbukwe heche alipewa uenyekiti wa bavicha na boss wako mbowe na pia heche ni zidumu fikra za mwenyekiti na ni mkaskazini wa kuhamia na tabia pia
munishi ana pay slip ya mshahara na ni mkaskazini na inazaniwa ni mtoto wa boss wako.
juliana shonza ni kiongozi wa bavicha mwenye fikra huru sio zidumu fikra za mwenyekiti,pia alichaguliwa kihalali na wajumbe wa bavicha,hana kiti bavicha,mshahara wala posho kwa kuwa sio mkaskazini na wala halikuwa chaguo la boss wako!
mwakani uchaguzi ndani ya chama lazima tuuondeo ule ukoo pale makao makuu na pia ujue boss wako hajawahi shinda chaguzi yeyote zaidi ya kusaidiwa na mkwe wake.
 
Ni kweli mkuu.Viongozi wa Bavicha wanafanya kazi nzuri sana.

juliana shonza yuko mbozi anajenga chama vijijini na pia hana posho,mshahara na gari kwa kuwa hakuwa chaguo la boss na pia sio zidumu fikra za mwenyekiti na pia sio mkaskazini na wala hajipendekezi kwa ukoo wa pale makao makuu
juliana anafanya kazi ya chama kwa kujitolea wakina heche na munishi wana mishahara na posho na pia wanofisi pale bavicha lakini juliana hata kiti hana bavicha makao makuu na anapigwa sana vita na ukoo wa pale makao makuu
lakini watu wa mbeya mwakani wameapa kutokuendelea na ujinga walio kuwa wanawatumiwa na watu kwa maslahi binafsi
 
juliana anafanya kazi ya chama kwa kujitolea wakina heche na munishi wana mishahara na posho na pia wanofisi pale bavicha lakini juliana hata kiti hana bavicha makao makuu
TUNTEMEKE,
Unaposema kwamba Juliana hana hata kiti Bavicha makao makuu unamaanisha nini? kwa sababu inaonekana unaandika mambo mengi ambayo ni ya uchonganishi ama ugombanishi, sitaki kuingia huko lakini ningependa unipe ufafanuzi wa hilo la makamu mwenyekiti wa Bavicha kutokuwa na kiti.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom