View attachment 76291
Kamanda Lema, Heche na Nasari wakiwapungia wakazi Arusha...Leo nisiku ya Chadema Arusha mgamba yamenuna je...
usihofu kamanda!
Makamanda wa Arusha Je Kamanda LEMA amefika??
Tujuze jamani kinachoendelea, Mkutano itafanyika wapi??
CHADEMA CHADEMA peoples power
Tanzania Tanzania peoples power!
Arusha Arusha peoples power!!
Lema Lema peoples power!!!!!!
Imbeni kwa suti kubwaaa hivyo vibwagizo
godbless lema ndo anaingia ktk viwanja hivi,,anawapungia watu mikono..amevaa tisheti nyeupe..uwanja unazidiwa kwa idadi ya watu
tishirt imeandikwa msiogope mungu yupo kazini by g lema
Zitto yupo kwenye mapokezi??au atasema wamemtenga!