Picha: Kuelekea Mikutano ya CHADEMA; Sugu Aliteka Mbeya Jana

Bukanga

JF-Expert Member
Dec 13, 2010
2,857
1,936
Kwa wale psycophant wa CCM mliodhani Mh. Rais kashamaliza kazi na kwamba wabunge wa upinzani hawana ufuasi na ushawishi kwa wananchi mnapaswa kujifikiria upya...

Kuelekea mikutano mikubwa ya CHADEMA itakayorindima mkoa kwa mkoa wabunge wa chama hiki kikubwa cha upinzani wameshaanza kutengeneza mapito na kuwaandaa wananchi kuwapokea viongozi wa juu wa chama...

Kama mnavyojua ziara hii inachagizwa na kitendo cha wabunge kufukuzwa kwa kosa la kupinga makatazo yenye mkono wa serikali kuu kukatisha minakasha ya bunge kuoneshwa moja kwa moja, ubabe wa dhairi wa uongozi wa bunge, kupanda kwa gharama za maisha ikiwemo bidhaa muhimu kwa wananchi wa kawaida, kufukuzwa kinyama kwa wanafunzi wa UDOM n.k

sugu1.jpg

sugu1.jpg
sugu2.jpg

sugu3.jpg
 
Kwa wale psycophant wa CCM mliodhani Mh. Rais kashamaliza kazi na kwamba wabunge wa upinzani hawana ufuasi na ushawishi kwa wananchi mnapaswa kujifikiria upya...

Kuelekea mikutano mikubwa ya CHADEMA itakayorindima mkoa kwa mkoa wabunge wa chama hiki kikubwa cha upinzani wameshaanza kutengeneza mapito na kuwaandaa wananchi kuwapokea viongozi wa juu wa chama...

Kama mnavyojua ziara hii inachagizwa na kitendo cha wabunge kufukuzwa kwa kosa la kupinga makatazo yenye mkono wa serikali kuu kukatisha minakasha ya bunge kuoneshwa moja kwa moja, ubabe wa dhairi wa uongozi wa bunge, kupanda kwa gharama za maisha ikiwemo bidhaa muhimu kwa wananchi wa kawaida, kufukuzwa kinyama kwa wanafunzi wa UDOM n.k

View attachment 353813
View attachment 353813 View attachment 353814
View attachment 353815
Sugu ni Rais wa Mbeya , sasa mwambie Majaliwa aache ving'ora halafu akafanye mkutano kwao lindi uone .
 
S
Kwa wale psycophant wa CCM mliodhani Mh. Rais kashamaliza kazi na kwamba wabunge wa upinzani hawana ufuasi na ushawishi kwa wananchi mnapaswa kujifikiria upya...

Kuelekea mikutano mikubwa ya CHADEMA itakayorindima mkoa kwa mkoa wabunge wa chama hiki kikubwa cha upinzani wameshaanza kutengeneza mapito na kuwaandaa wananchi kuwapokea viongozi wa juu wa chama...

Kama mnavyojua ziara hii inachagizwa na kitendo cha wabunge kufukuzwa kwa kosa la kupinga makatazo yenye mkono wa serikali kuu kukatisha minakasha ya bunge kuoneshwa moja kwa moja, ubabe wa dhairi wa uongozi wa bunge, kupanda kwa gharama za maisha ikiwemo bidhaa muhimu kwa wananchi wa kawaida, kufukuzwa kinyama kwa wanafunzi wa UDOM n.k

View attachment 353813
View attachment 353813 View attachment 353814
View attachment 353815
Kwa wale psycophant wa CCM mliodhani Mh. Rais kashamaliza kazi na kwamba wabunge wa upinzani hawana ufuasi na ushawishi kwa wananchi mnapaswa kujifikiria upya...

Kuelekea mikutano mikubwa ya CHADEMA itakayorindima mkoa kwa mkoa wabunge wa chama hiki kikubwa cha upinzani wameshaanza kutengeneza mapito na kuwaandaa wananchi kuwapokea viongozi wa juu wa chama...

Kama mnavyojua ziara hii inachagizwa na kitendo cha wabunge kufukuzwa kwa kosa la kupinga makatazo yenye mkono wa serikali kuu kukatisha minakasha ya bunge kuoneshwa moja kwa moja, ubabe wa dhairi wa uongozi wa bunge, kupanda kwa gharama za maisha ikiwemo bidhaa muhimu kwa wananchi wa kawaida, kufukuzwa kinyama kwa wanafunzi wa UDOM n.k

View attachment 353813
View attachment 353813 View attachment 353814
View attachment 353815
SUKARI KILO MOJA 5000
 
Back
Top Bottom