sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 2,902
- 5,923
Hii stori unataka tuchangie au unatukumbusha tu?
maana nahisi kila mtu anaijua...
na ishapostiwa humu mara nyingi mno...
Majitu mabinafsi utayaona tu asa kwa kuwa wewe umeshawai kuisoma basi ndio isiletwe tena humu???
Jf kila dakika wanaingia watu wapya..
Wengine ni wavivu kutafuta habari .
Mfano mimi nipo jf tokea 2015 hii habari sijawahi kuisoma na kuielewa kama nilivyoisoma leo..
Japokuwa hii habari haipatikani jf peke yake..
Tuwe na upendo huyo jamaa hapo juu
kaweka bando kwa pesa yake
,kanunua simu kwa pesa yake
Katumia muda wake kutuletea habari nzuri na yenye funzo..
Wewe unataka kumpangia cha kupost we nani kwani???????????