Picha: Hawa ndiyo watu maarufu wasiopokea wala kutoa Rushwa

Hawa ndiyo viongozi na watu wenye ushawishi mkubwa hapa nchini ambao wakikemea rushwa hata sura zao zinaonyesha na kumaanisha wanachosema. Hata km una deal lako hawa ndo watu ambao hawaingiliki..!

View attachment 273351
Dr.Ali mohamed shein.

View attachment 273352
Dr.Wilbroad Slaa

View attachment 273353
Tundu Lissu.

View attachment 273355
Mwadhama Polycarp Pengo.


Slaa mtoe ela aliyopiga wakati wa kampeni ni kubwa mno

In short hakuna mtu Mwenye jeuri juu ya pesa
 
Hawa ndiyo viongozi na watu wenye ushawishi mkubwa hapa nchini ambao wakikemea rushwa hata sura zao zinaonyesha na kumaanisha wanachosema. Hata km una deal lako hawa ndo watu ambao hawaingiliki..!

View attachment 273351
Dr.Ali mohamed shein.

View attachment 273352
Dr.Wilbroad Slaa

View attachment 273353
Tundu Lissu.

View attachment 273355
Mwadhama Polycarp Pengo.
Hawa ndiyo viongozi na watu wenye ushawishi mkubwa hapa nchini ambao wakikemea rushwa hata sura zao zinaonyesha na kumaanisha wanachosema. Hata km una deal lako hawa ndo watu ambao hawaingiliki..!

View attachment 273351
Dr.Ali mohamed shein.

View attachment 273352
Dr.Wilbroad Slaa

View attachment 273353
Tundu Lissu.

View attachment 273355
Mwadhama Polycarp Pengo.

Hapa Mr. Clean ni Mzalendo Tundu Lissu peke yake, hawa wengine ni matango mwitu tuu:

1. Shein tumekuja kujua ni jambazi mzoefu kiasi cha kufikia kuwa mwizi wa kura na dikteta wa kutisha
2. Dr. Mihogo kawatapeli hata TISS imagine sasa kakimbia nchi maana akirudi tu hapa lazima wamshikishe ukuta
3. Askofu Pengo anatumika mno na dola so nina kila sababu ya kuamini yuko kwenye payroll ya TISS pia, sawa Lipumbavu na Dr. Mihogo
 
NYERERE0001small.JPG
Huyu hakuwa mla rushwa.
 
Teh, teh ni sawa na kuwadhania wadada wa danguro kwamba "hawa ndiyo mabikra ktk danguro hili tangu kuanza kwa shughuli zao"
Hawa ndiyo viongozi na watu wenye ushawishi mkubwa hapa nchini ambao wakikemea rushwa hata sura zao zinaonyesha na kumaanisha wanachosema. Hata km una deal lako hawa ndo watu ambao hawaingiliki..!

View attachment 273351
Dr.Ali mohamed shein.

View attachment 273352
Dr.Wilbroad Slaa

View attachment 273353
Tundu Lissu.

View attachment 273355
Mwadhama Polycarp Pengo.
 
Hapa Mr. Clean ni Mzalendo Tundu Lissu peke yake, hawa wengine ni matango mwitu tuu:

1. Shein tumekuja kujua ni jambazi mzoefu kiasi cha kufikia kuwa mwizi wa kura na dikteta wa kutisha
2. Dr. Mihogo kawatapeli hata TISS imagine sasa kakimbia nchi maana akirudi tu hapa lazima wamshikishe ukuta
3. Askofu Pengo anatumika mno na dola so nina kila sababu ya kuamini yuko kwenye payroll ya TISS pia, sawa Lipumbavu na Dr. Mihogo
Uko sawa mkuu, Lissu ni kiongozi wa upinzani pekee ngazi ya taifa ambaye hanunuliki na hajawahi kuonesha dalili za kununulika, he has been very consistent on all issues that he stand for
 
Hawa ndiyo viongozi na watu wenye ushawishi mkubwa hapa nchini ambao wakikemea rushwa hata sura zao zinaonyesha na kumaanisha wanachosema. Hata km una deal lako hawa ndo watu ambao hawaingiliki..!

View attachment 273351
Dr.Ali mohamed shein.

View attachment 273352
Dr.Wilbroad Slaa

View attachment 273353
Tundu Lissu.

View attachment 273355
Mwadhama Polycarp Pengo.
Mleta mada haukufanya utafiti wa kutosha. Dr. Silaha alichukua mkwanja wa ccm kwenye sakata la lowassa kuhamia chadema na mke waje Jisephine akasema wamepata pesa wanaenda kujenga shule.
 
Lipumba hakosekani kwenye hiyo list.. Huyu ni mzalendo wa kweli anatumia kipato chake halali ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom