magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Hapo pa Tundu Lissu pana mashaka
Kwa hiyo ukiwana biashara tu unakuwa mpokea au mtoa rushwa?Kwa Dr Shein sio,anamagari makubwa ya mchanga,amewakodishia wakandalasi wa barabara na majengo.
Kwa hiyo ukiwana biashara tu unakuwa mpokea au mtoa rushwa?
Ama kweli Lumumba wanafki,Hapo pa Tundu Lissu pana mashaka
Hapo pa Tundu Lissu pana mashaka
Mkuu Arnold alley pole sana! We nadhani umekata tamaa kutokana na maisha ya viongozi na watu maarufu kwa jinsi wanavyoikumbatia rushwa. Lkn ukitaka kuwa na uhakika na nilichoandika,jaribu kuwafuatilia hao watu hata kwa kuwauliza watu waliopata bahati ya kufanyakazi na hawa watu. Bahati nzuri hadi sasa wanalitumikia Taifa.hivi bado kuna watu wana imani kuwa yupo mwanasiasa asiyepokea wala kutoa rushwa???
Kweli mmeachwa mbali
Hapo pa Tundu Lissu pana mashaka
Hapo pa Tundu Lissu pana mashaka
Kwa Dr Shein sio,anamagari makubwa ya mchanga,amewakodishia wakandalasi wa barabara na majengo.