Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Yer right mkuu Lunyungu.Kwa wale waliofika NY jamaa Willy ni very welcoming na supportive kwa kusaidia kuifanya safari yako huko kuwa as comfortable as possible.Kuna wageni jamvini naona wanamwita W Malecela gamba jipya . The man ni CCM miaka yote na amekuwa hapa muda sana ni sasa kaamua kutumia jina lake ila ana jina lake maarufu sana hapa .What I like abour William aka FM akianza na kitu hadi ajue mwisho wake .Na ni mstaarabu si kama CCM wengine akiwa amekosea atakuja hapa na kusema Wazee samahani .Ila asema na yeye ana mambo yake magumu tu akimpenda mtu hahahaah . William tuwasiliane namba yangu ni ile ile .
Mimi nimefaidika na ukarimu wake miaka kama mitatu iliyopita pamoja na kwamba tulikuwa hatufahamiani kabisa.
Hii ya kuitana magamba, kama alivoonyesha mtoa mada ni utoto wa kuweka serious issues in bad light.
Ntashangaa sana kama mtoa mada alikuwa part of the VC's entourage huko NY.
Na focus ya habari yake ni nini hasa? kwani umeambatana na VC kumtafuta William?