Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,227
sasa mbona benki zinapigana vikumbo kujipendekeza kwao kama hawana hela?wote hao income zao hazizidi dola nne kwa week! halafu wamejenga mabondeni na hawana lolote la kujiletea mali.
sasa mbona benki zinapigana vikumbo kujipendekeza kwao kama hawana hela?wote hao income zao hazizidi dola nne kwa week! halafu wamejenga mabondeni na hawana lolote la kujiletea mali.
kwani wewe unaproduction gani?usikute ni mfagiaji kule TRA,nawe unajiona umeadvance.Production yake ina income gani?
hapo hata pengo akilazwa hawezi kupata msululu kama huo kwenda kumjulia hali.hapo hakuna kazi joblessness... ikifika muda wa masjid ndo wanatoka.
Mwambieni Lemutz aliyesema Ponda is just a.......... person, äkarudie maeno yake hapo kwenye foleni.
... hiyo ndiyo production ndugu yangu, tofauti na matumizi ya kunywa kahawa na kashata, halafu baadaye unakuja kulalamika kuwa 'wanapendelewa'!kwani wewe unaproduction gani? usikute ni mfagiaji kule TRA ,nawe unajiona umeadvance.
Ponda ni zaidi ya siasa
Leo ndio umeona kwamba taarifa za Ponda sio za Siasa mbona tangu juzi habari za kupigwa kwake Risasi zimo/zipo humu haukuyaandika haya au roho inakuuma kuona mapenzi waliyonayo hao wanzania wanaoenda kumuangalia kipenzi chao.
imani ni kitu cha ajabu sana
Ponda ni zaidi ya siasa
hueleweki bana.... hiyo ndiyo production ndugu yangu, tofauti na matumizi ya kunywa kahawa na kashata, halafu baadaye unakuja kulalamika kuwa 'wanapendelewa'!
Naam wanachezea bao kwenye tundu la UC.H.I wa mama yako..m@L@Y@ WewE..Sidhani kama wana kazi zaidi ya kucheza bao.
Na ni kitu hatari sana kama jamii husika imejaa umasikini na ujinga!
Ni hoja ya msingi sana,lakini kwasababu hakuna taaluma imewekwa pembeni tutaendelea kushuhudia maajabu mengi ktk nchi yetu.Tukiweka siasa/udini pembeni, je afya ya mgonjwa Sheikh Ponda na wagonjwa wengine waliolazwa hapo hospitali ya Muhimbili, sehemu ya MOI hawawezi kudhurika kiafya na kimapumziko na umati huo uliojitokeza hospitalini? Pia shughuli za watoa huduma kama madaktari, wauguzi na wafanyakazi wa usafi haziweki kupata changamoto kubwa na kushindwa kutoa huduma bora?
Naam wanachezea bao kwenye tundu la UC.H.I wa mama yako..m@L@Y@ WewE..
Mwambieni Lemutz aliyesema Ponda is just a.......... person, äkarudie maeno yake hapo kwenye foleni.