Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Haaaaa haaaaa Urafiki wa Mashaka? Hata hawaangaliani?
Lakini inapendeza kuona kuwa viongozi wa Nchi wakati mwingine wanaweka siasa pembeni na kufanya kazi za Kijamii kwa maslahi ya Watanzania.
Hii ndito Tanzania tunayoitaka. Hongera JK. Hongera Dr. Slaa.
Hebu tujaribu kuziwekea Maneno tuone inakuwaje? Wabunifu wanakaribishwa!
Picha kwa hisani ya: matukio-michuzi
Lakini inapendeza kuona kuwa viongozi wa Nchi wakati mwingine wanaweka siasa pembeni na kufanya kazi za Kijamii kwa maslahi ya Watanzania.
Hii ndito Tanzania tunayoitaka. Hongera JK. Hongera Dr. Slaa.
Hebu tujaribu kuziwekea Maneno tuone inakuwaje? Wabunifu wanakaribishwa!
Picha kwa hisani ya: matukio-michuzi