Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,442
- 25,587
Mbuta!!!!! Hiki ni kikao cha ukoo au??
Kiruu...kikao cha ukoo kina kuwa na wazee kumi-kumi na tano hivi..
Sujui niseme hiyo nn?..
Hivi kampeni huwa zinakuwaga na ruzuku..
Mbuta!!!!! Hiki ni kikao cha ukoo au??
mtu
Kwanini asiwe mtu wa CCM? Kweli nimeamini CCM na CUF lao moja dhidi ya Chadema
Ndio sababu wanasema ni 'pingu za maisha'. Ndoa sio mchezo.