Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Weka na bei ya simu
Kwani yeye kapiga na kamera ipi!??Simu yenye Camera nzuri sana ninayo faham ni Samsung Galaxy S23 Ultra sport; kamera yaKe ni kali kuliko Iphone 14. Picha kama hiyo inaweza kuwa imepigwa kwa simu kama Samsung Galaxy S22 Ultra au hata Iphone 12 promax na kuendelea juu. Bei zake watakujuza wengine
Nimejaribu kuifuatilia hiyo s23, nimeshtuka sana baada ya kukuta inauzwa Tsh 2.3m. Mkuu hakuna simu ya bei chee inayopiga picha kama hiyo?Simu yenye Camera nzuri sana ninayo faham ni Samsung Galaxy S23 Ultra sport; kamera yaKe ni kali kuliko Iphone 14. Picha kama hiyo inaweza kuwa imepigwa kwa simu kama Samsung Galaxy S22 Ultra au hata Iphone 12 promax na kuendelea juu. Bei zake watakujuza wengine
Tecno pop 2 baasiNimejaribu kuifuatilia hiyo s23, nimeshtuka sana baada ya kukuta inauzwa Tsh 2.3m. Mkuu hakuna simu ya bei chee inayopiga picha kama hiyo?
Shs ngapi mkuu hiyo simu
Mmh! Mkuu, hiyo 3.1m ni pesa ya viwanja viwili MlandiziIphone 14 Pro Max hii hatari sana
Google pixel 8 pro JamiiForums mobile app
1.7mShs ngapi mkuu hiyo simu
Nimecheka sana mkuu,Tecno pop 2 baasi
S 10 Plus ina Camera nzuri sana...Nimejaribu kuifuatilia hiyo s23, nimeshtuka sana baada ya kukuta inauzwa Tsh 2.3m. Mkuu hakuna simu ya bei chee inayopiga picha kama hiyo?
Dah! Na kweli mkuu. Kwani hakuna yenye walau uhafadhari hata tu ya kurekodia vipindi? Walau yenye kuanzia 50MP, ya kimaskini?Hapo lazima ujipange, hizi simu zetu za laki 3 haziwezi kutoa picha kama hizo
Hii afadhari mkuu. Sema imevuka bajeti yangu ya 300kSamsung A24 na kuendelea camera yake ni balaa mzee
Naskia 3.5m unapata bajaj yako nzuri tu kisha unajiunga Bolt unakula vichwa tuS 10 Plus ina Camera nzuri sana...
S 10 Plus sio ya bei hiyo na pia simu nzuri inasaidia kufungua baadhi ya mafaili kwa haraka na kwa ubora simu inategemeana na shughuli pia unayofanya...Naskia 3.5m unapata bajaj yako nzuri tu kisha unajiunga Bolt unakula vichwa tu
mzee ukitaka kununua kitu usiconvert utaumia kichwa tu. Pc nayotumia ilinunuliwa Uswisi kwenye online shop ya Galaxus cheki bei yakeNaskia 3.5m unapata bajaj yako nzuri tu kisha unajiunga Bolt unakula vichwa tu