Picha: Baada ya ziara ndefu Kilombero

Lua

JF-Expert Member
May 19, 2011
704
305
Namshukuru m/mungu kwa kurejea salama, baada ya ziara ndefu katika jimbo la Kilombero kutoka tarehe 16/10/2014 hadi juzi tarehe 31/01/2015.

Lengo ya ziara ilikua ni kufanya mikutano ya hadhara katika kata zote 35 za jimbo la Kilombero ya kutoa elimu ya uchaguzi wa serikali ya mitaa, katiba mpya, ukawa n.k pia kulikuwa na semina baada ya mikutano juu ya ujazaji fomu na mkakati wa kushinda serikali za mitaa.

Namshukuru Mungu zoezi hilo lilikwenda salama na kufanikiwa kuapata ushindi wa kutosha. Katika vijiji 110 vya jimbo la Kilombero uchaguzi umefanyika katika vijiji 107 na matokeo yapo hivi.

CHADEMA imepata vijiji 45, CUF 12 na CCM 50, kwahiyo UKAWA tuna vijiji 57 na CCM vijiji 50. Na katika mamlaka ya mji mdogo IFAKARA kuna vitongoji 33, CHADEMA imeshinda Vitongoji 29 na CCM imepata 4.

Mwisho napenda kuwapa shukrani kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa sapoti walionipa lakini pia kwa viongozi wa UKAWA kutoka ngazi ya msingi, matawi, kata na jimbo kwa ushirikiriano walionipa.

"KWA MAENDELEO YA KWELI KILOMBERO, MASLAI YA UMMA KWANZA
attachment.php

 

Attachments

  • FILE335.JPG
    FILE335.JPG
    1.2 MB · Views: 1,148
  • FILE434.JPG
    FILE434.JPG
    1.2 MB · Views: 1,039
  • FILE437.JPG
    FILE437.JPG
    1,006.7 KB · Views: 940
  • FILE832.JPG
    FILE832.JPG
    1.1 MB · Views: 906
  • FILE673.JPG
    FILE673.JPG
    996.4 KB · Views: 875
  • FILE006.JPG
    FILE006.JPG
    1.1 MB · Views: 760
  • FILE028.JPG
    FILE028.JPG
    68.1 KB · Views: 739
  • FILE111.JPG
    FILE111.JPG
    943.3 KB · Views: 700
  • FILE095.JPG
    FILE095.JPG
    52.6 KB · Views: 729
  • FILE039.JPG
    FILE039.JPG
    53.9 KB · Views: 2,664
vizuri kamanda hata mimi nilikuwa mngeta hapo na tukafanikiwa kuzoa vijiji vingi na vitongoji ila najiandaa kugombea udiwan kata ya mchombe, maana ya mngeta kuna kamanda kigawa. kuna kamanda anaitwa aziz himbuka jamaa anatufaa sana kama tutampa ridhaa ya kupeperusha pendera ya chadema. peoples..................
 
mkuu kura ya katiba tunapiga au tunaigomea na tukigoma ccm wao si wataipitisha?
 
vizuri kamanda hata mimi nilikuwa mngeta hapo na tukafanikiwa kuzoa vijiji vingi na vitongoji ila najiandaa kugombea udiwan kata ya mchombe, maana ya mngeta kuna kamanda kigawa. kuna kamanda anaitwa aziz himbuka jamaa anatufaa sana kama tutampa ridhaa ya kupeperusha pendera ya chadema. peoples..................
ok, mchombe nilipiga mikutano mitatu, nayo ni mkangawalo, kijiji tumeshinda, njagi-kijiji tumeshinda na lukolongo- kijiji pia tumeshinda. ni vizuri kama umeweka nia hapo but naomba unicheki kwa namba 0784379542
 
mkuu kura ya katiba tunapiga au tunaigomea na tukigoma ccm wao si wataipitisha?
tutaendelea kuigomea kwa kuwa katiba inayopendekezwa haina uhalali wa kisiasa na kiuadilifu. october mwaka tunakwenda kuing'oa ccm na katiba yao inayopendekezwa na baada ya hapo tutatumia rasimu ya walioba kutengeneza katiba yenye maslahi kwa umma.
 
Naaam umenifurahisha sana sana, next time ukienda naomba yuwasiliane tafadhali najua hapa hata mpwa wangu MANI ataweka neno
 
Last edited by a moderator:
sawa kamanda, nasis tulipiga hapo kotako, ikule, mguden,kimbi,nakaguru nk vp ulibahatika kufika kijiji cha merera kipo kata ya chita. kamanda jamaa walituelewa sana baada ya kuwakataza kulipa mchango wa mwenge ambao walikuwa wananyanyaswa nao sana, natukawaambia hakuna sheria inayomlazimisha mtu kufanya hvyo ikitokea wamewakamata muwaambie twenden mahakaman, nasis makamanda tutawafuata huko. toka hapo hawajanyanyaswa tena nawalitupigia sm wako huru hawajifich tena. nawakafanya mabadiliko makubwa kwenye uchaguz kwa kutoa ukolon wa magamba. makamanda hutulal mpaka kieleweke.
 
Hakuna cha maana alienda kuuza sula tu ndiyo maana hata uandishi wake ni mithiri ya mtu aliyevuta.
 
Kinana na Nape si walipita huko wakifuatiwa na chopa ya Mwigulu imekuwaje wakaangukia pia kiasi hicho?
 
Kuna tatizo la shule Bavicha;kusoma na kuandika ni sheeedah!
 
Operesheni za makamanda tofauti vijijini zimeleta kheri, wachawi wanasubiri kuwasikia Mbowe na Dr Slaa.
 
Safi sana kamanda hongera. Vijana wa Lumumba hawawezi kazi kushinda yuma ya keyboard
 
Back
Top Bottom