Pope leo x
JF-Expert Member
- May 11, 2016
- 264
- 143
Acha upimbi,wewe shaambiwa kuwa nikwaajili ya Barbara mahalumukwa hiyo mnaona hayo mabasi ni bora zaidi kuriko binadamu umasikini tulionao ni kilema...ajali zipo kila sehemu ni stress tuu za maisha usidhani mtu akiwa normal hawezi kusikia achilia mbali sauti ya gari iyo honi pia...mtu anagongwa na freightliner engine breki ina sauti kama ya treni...mawazo mawazo ndio yanayotugongesha road wakuu..na nayakuja popote pale hayachagui...